Equity Bank crosses the Ksh 1 Trillion balance sheet mark

Safi Sana.
 
Sijasikia scandal kama hio. Mbona hukuenda kucomplain ili wakurudishie pesa yako?
 
Onesha mgonjwa wa korona Tanzania.
Wanajifia majumbani kwao maana wanaogopa kujitokeza hadharani. Masikini wa Mungu. Mola ailaze roho zao mahali pema peponi na wanaoumia kwa ugonjwa huu huko TZ nawaombea wapate nafuu haraka.
 
Wanajifia majumbani kwao maana wanaogopa kujitokeza hadharani. Masikini wa Mungu. Mola ailaze roho zao mahali pema peponi na wanaoumia kwa ugonjwa huu huko TZ nawaombea wapate nafuu haraka.

Majumba yapi hayo, mbona shughuli za maziko hazionekani katika ujirani?
Nyie endeleeni kuiombea mabaya Tanzania. Muda utakuja kuamua.
 
kwani lazima uwe na corona kupata madhara ya corona!!!

Haingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu, kuwa majirani zake wote wanaomzunguka waathirike halafu yeye anayejichanganya nao aseme yeye hajaathirika!! He will be just feeding himself some pshychological food!!
Kupata madhara ya corona lazima awepo aliyeugua corona na sio lazima uwe wewe aweza kuwa jirani yako!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…