Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Equity bank imeamua badala ya kudeal na benki mbili huko DR Congo ni heri izishikanishe pamoja ili ziwe bank moja kubwa. Benki za Kenya zinazidi kutesa ukanda huu wote. Naona uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi.
Equity Group gets approval to merge two banks in DRC | Business Daily
www.businessdailyafrica.com