Equity Bank inasema kwamba inatengeneza faida kubwa sana huko DR Congo

Wanasema wewe co mkenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Once upon a time I believed in your mainstream school of thought but curiosity brought forth new revelations never taught in schools. Tafuta ukweli Bro, utashangaa.
Cc MK254 NairobiWalker Nicxie komora096 Teargas Tony254 KANAIRO asvptx

My take: Huyu Mwaswast itakuwa alipata elimu bora sn na nahisi alikwenda kuongeza maarifa kunako elimu isiyo shaka kule nchini Tanzania, endelea kuwafundisha hawa vijana waliokosa msingi mzuri na imara wa elimu, usiwachoke mana wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
I am not your foe nor rival. Someday what I say will make sense to you.
Hahahaaaa mwaswast unapiga kwenye mshono, huyo jamaa ni zero brain, yeye anamuota Magufuli tu kila uchwao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii Equity Bank. Ina visionary leaders kama huyu James Mwangi

Anajua exactly nini anataka, benki inaenda wapi, anajua ndani/ nje masoko yake trends, uchumi unapoenda, na jinsi ya kutumia fursa.

Refreshing to read mikakati iliyoshiba kutoka kwa kiongozi anayejitambua na kutambua fursa na kuzitumia fursa chap chap.

Banks na makampuni mengi ya TZ yana kitu cha kujifunza kuchangamkia fursa hapa TZ, DRC, Uganda, South Sudan EAC, SADC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…