MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Huyu mtu mpira halazimishi, kwa umri wake ni ajabu na kweli! Fundi wa mpira, bingwa wa penati, kiraka! Mpe majina yote! Akiwepo timu inatulia!
Huyu fundi tumpe heshima yake. Hebu piga saluti hapo chini kwa heshima yake [emoji119][emoji119]
Huyu mtu mpira halazimishi, kwa umri wake ni ajabu na kweli! Fundi wa mpira, bingwa wa penati, kiraka! Mpe majina yote! Akiwepo timu inatulia!
Huyu fundi tumpe heshima yake. Hebu piga saluti hapo chini kwa heshima yake [emoji119][emoji119]