Bensoy
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 576
- 622
Na kesho ukisikia nyoni sio simba ila kasajiliwa yanga uje hapa kuomba radhi.yeboyeboweweSimba nao kuna muda wanachekesha. Hivi ni nani aliyewashauri kusajili hao wazee? Ukianza na huyo Nyoni, Okwi na hata John Bocco?
Rage aliwahi kuwaita mashabiki wa Simba kuwa ni Mbumbumbu na wala hakukosea hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app