Erasto Nyoni ni bora ustaafu ili uwe 'Kit Manager' wa Simba

Erasto Nyoni ni bora ustaafu ili uwe 'Kit Manager' wa Simba

ToniXrated

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
1,134
Reaction score
2,993
Haina salamu.

Hasira zote zikushukie mchezaji usieleweka unacheza namba gani uwanjani, Erasto Nyoni. Hivi unashindwa nini kuiga mfano wa beki Aggrey Morris aliyeamua kutundika daluga?

Yaani sasa hivi umekuwa mchezaji kituko ndani ya Simba, wewe pamoja na hao wakuitwa legends, Jonas Mkude na John Bocco.

Yaani hamna hadhi tena ya kuitumikia Simba SC. Ushauri wangu kwenu kama mnapenda sana kubaki Simba basi ni vyema mkatundika daluga, mstaafu kwa heshima zipo nafasi nyingi katika timu ukiachana na kuwa mchezaji, mnaweza kuomba kuwa hata Kit Manager wa timu.
 
Huyu babu apumzike tu na mwenzie Boko.
 
Matola
Mgunda
Banda
Bocco
Nyoni
Mzamiru
Mkude
Kibu
Akpan


Hawawezi tusaidia
 
Haina salamu.

Hasira zote zikushukie mchezaji usieleweka unacheza namba gani uwanjani, Erasto Nyoni. Hivi unashindwa nini kuiga mfano wa beki Aggrey Morris aliyeamua kutundika daluga??

Yaani sasa hivi umekuwa mchezaji kituko ndani ya simba wewe pamoja na the so called legends, Jonas Mkude na John Bocco.

Yaani hamna hadhi tena ya kuitumikia Simba sc. Ushauri wangu kwenu kama mnapenda sana kubaki Simba basi ni vyema mkatundika daluga,mstaafu kwa heshima zipo nafasi nyingi katika timu ukiachana na kuwa mchezaji, mnaweza kuomba kuwa hata kit manager wa timu.
Waende hata geita gold kwa mkopo
 
Mkopo wa nini tena ili muda wao ukiisha warudi tena Simba?! Hao ni wa kupewa mkono wa kwaheri, waende kutafuta changamoto mpya
Kuvunja mikataba ni gharama.

Hakuna kupewa mikataba mipya, watolewe kwa mkopo wapelekwe kijijini uko Ihefu.
 
Haina salamu.

Hasira zote zikushukie mchezaji usieleweka unacheza namba gani uwanjani, Erasto Nyoni. Hivi unashindwa nini kuiga mfano wa beki Aggrey Morris aliyeamua kutundika daluga?

Yaani sasa hivi umekuwa mchezaji kituko ndani ya Simba, wewe pamoja na hao wakuitwa legends, Jonas Mkude na John Bocco.

Yaani hamna hadhi tena ya kuitumikia Simba SC. Ushauri wangu kwenu kama mnapenda sana kubaki Simba basi ni vyema mkatundika daluga, mstaafu kwa heshima zipo nafasi nyingi katika timu ukiachana na kuwa mchezaji, mnaweza kuomba kuwa hata Kit Manager wa timu.
Nyoni anatumika kiwachekesha wachezaji ila sio mchezaji tena maana hana kiwango kabisa.. mkude kachoka ma hapati tena nafuu maana kashavuka peek yake, boko sina la kusema sababu mamuheshimu, nikisema nitakua nimemdharau sana ila anajua wanasimba wanachowaza...
 
Simba waliwabakisha hawa wakitegemea ndio watakuwa wahamasishaji, si mbaya sana ila wamefanikiwa kuwateka makocha, wanapewa game time zaidi kishikaji.
 
Back
Top Bottom