Huna pesa utaleta tu mbilikimo okwa[emoji16]Makosa yamefanywa na viongozi wakati wa usajili. Walitakiwa kuachwa kabisa, kwa sababu kubaki simba pamoja na matola lazima watapewa nafasi za kishkaji. Kama mgunda atamwogopa matola ataharibikiwa soon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkude bado hajaisha.Matola
Mgunda
Banda
Bocco
Nyoni
Mzamiru
Mkude
Kibu
Akpan
Hawawezi tusaidia
Na asipomuogopa ndio ataharibikiwa zaidi maana makocha wanakuja na kufukuzwa/kuondoka lakini yeye bado yupo gado na ataendelea kwa muda mrefu kuwepo.Makosa yamefanywa na viongozi wakati wa usajili.
Kama mgunda atamwogopa matola ataharibikiwa soon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba inatakiwa iwapate namba 6 wa aina ya kama yule wa Azam Issa ndala yani unaona kabisa kiungo ana chezesha timu anatoa pasi zinaonekanaMkude bado hajaisha.