MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Hebu tuweke ushabiki pembeni, kuachwa Kichuya, Ajibu unaweza usihoji sana lakini kwa Erasto Nyoni hapana aisee.
Hata ingekuwa Brazil au nchi yoyote iliyopiga hatua kimpira kuna wachezaji ukiwaacha lazima upate msukosuko. Erasto Nyoni ndio nguzo ya Simba kwa muda mrefu ambayo ndio mabingwa nchi unawezaje kumuacha?
Waandishi wamuulizeni kocha mkuu atupe sababu za msingi. Hii ni timu ya taifa na uteuzi wa wachezaji unahitaji mawazo mapana hasa ukizingatia ugeni wa kocha mkuu.
Watueleze vigezo vipi vimemuengua Erasto Nyoni ili tukubaliane nao. Bora wasingemuita hata Kapombe lakini si fundi Erasto Nyoni.
Hebu tuweke ushabiki pembeni, kuachwa Kichuya, Ajibu unaweza usihoji sana lakini kwa Erasto Nyoni hapana aisee.
Hata ingekuwa Brazil au nchi yoyote iliyopiga hatua kimpira kuna wachezaji ukiwaacha lazima upate msukosuko. Erasto Nyoni ndio nguzo ya Simba kwa muda mrefu ambayo ndio mabingwa nchi unawezaje kumuacha?
Waandishi wamuulizeni kocha mkuu atupe sababu za msingi. Hii ni timu ya taifa na uteuzi wa wachezaji unahitaji mawazo mapana hasa ukizingatia ugeni wa kocha mkuu.
Watueleze vigezo vipi vimemuengua Erasto Nyoni ili tukubaliane nao. Bora wasingemuita hata Kapombe lakini si fundi Erasto Nyoni.