Erasto Nyoni out Taifa Stars!! Kwanini??

mkuu hebu tusiwe na mengi ya kusema tusubiri siki ya mechi dk 90 ndipo tuje kumnanga kocha. kwa maoni ya walio wenvi inaonekana kocha kachemka ila mpira dk 90 tujipe muda tuone
Kushinda tunaweza kushinda bila wasiwasi ila kwa nchi yetu hii ambayo bado tuna wachezaji wachache waliokamilika kama Nyoni alafu tunawaacha bila sababu za msingi. Hawa akina Nyoni ndio wakuwajenga mabeki wapya tunaowajenga kwaajili ya ushindani wa baadae.
 
Mimi ni Yanga ila natanguliza utaifa zaidi, kocha hatufai aondolewe haraka sana
 
Kumuacha Fundi Ajibu ni kosa kubwa sana! Yule ni mzee wa pasi za mwisho! Sijui huyu kocha anatumia vigezo gani kuita wachezaji!
Kwa kweli inashangaza sana, Ajibu yupo katika kiwango bora kabisa saa hizi. kila nikimfikiria kesho moyo unadunda natamani aumwe.
 
Sina shida sana na hilo la nyoni, mimi shida yangu Ajibu, kumuacha Ajibu kocha amechemka sana, Ajibu yupo kwenye kiwango bora sana kwasasa.. n.b chura jiandaeni kwa kipigo kesho, shubamtiiiii
 
Ameitumikia sana taifa stars mwacheni ampumzike kwanza
 
Yuko taratibu na hana nguvu ila kwa jicho la mpira wetu wa ndani mnamuona yuko vizur.
Mara nyingi napomuangalia nakubaliana na mtizamo wako na ndio maana wengi wanakubali kuwa japo anakaba vizuri ila hapandishi timu sema kwa ajibu hapo kidogo ndio pana ukakasi ila zama huja zama hupita pengine kitabu kipya kinaandikwa
 
Pamoja na unazi wangu uliotukuka wa pale Msimbazi lakini kwenye taifa tukiweka uzalendo mbele ni dhambi kumweka Ibrahim Ajib pembeni.
Kwel mkuuu Mimi pia ni msimbazi lia lia ila ajibu na nyoni imeniuma cjaona umuhimu Wa Yahaya zayd na Dante
 
Hapana mkuu. Erasto Nyoni ni level nyingine kwasasa hapa nchini. Ndio nguzo ya Simba ambao ndio mabingwa wa nchi. Yupo kwenye first eleven kwa muda mrefu. Kwanini wamuache? Watupe sababu ili tujue kama walifanya utafiti wa kina.
mpaka Manji apewe kesi 13 na akazipangua zote ndio mchukue ubingwa????
 
Nafikiri kazi ya Nyoni na Yondani mmeiona leo. Kuna wachezaji si wa kuweka benchi kwakuwa ndio walio kwenye ubora kwasasa na uzoefu wa mechi za kimataifa. Hao vijana wakomae kwanza si kujaribu watu kwenye mechi muhimu.
Nadhani sasa kocha akili imemkaa vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…