Erasto Nyoni out Taifa Stars!! Kwanini??

Kocha kabana kaaachia
 
Kocha wa simba alivyomuona Nyoni anavyocheza pale kati atakuwa amechanganyikiwa maana yeye amezoea kumpanga beki wa kati hawa azam watakuwa wanajuta kumwacha Nyoni huku yanga wakisikitika walivyozidiwa mahesabu na simba dakika za mwesho kumsajili
 
Kocha wa simba alivyomuona Nyoni anavyocheza pale kati atakuwa amechanganyikiwa maana yeye amezoea kumpanga beki wa kati hawa azam watakuwa wanajuta kumwacha Nyoni huku yanga wakisikitika walivyozidiwa mahesabu na simba dakika za mwesho kumsajili
Mkuu Yanga walizidiwa hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…