Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jamaa katulia kinoma ukiangalia kipindi cha kwanza jamaa walikuwa wakipambana kukamata kati ila jamaa akawa anatuliza mipira na kuturudisha kwenye game alipoingia Boko na feisal Nyoni akamaliza kazi pale kabisa akisaidia na yahaya mudadhiri hatariiiiiiiiYule kiraka labda kudaka tu! Halazimishi mpira, anaujua.
Kocha kabana kaaachiaWakuu,
Hebu tuweke ushabiki pembeni, kuachwa Kichuya, Ajibu unaweza usihoji sana lakini kwa Erasto Nyoni hapana aisee.
Hata ingekuwa Brazil au nchi yoyote iliyopiga hatua kimpira kuna wachezaji ukiwaacha lazima upate msukosuko. Erasto Nyoni ndio nguzo ya Simba kwa muda mrefu ambayo ndio mabingwa nchi unawezaje kumuacha?
Waandishi wamuulizeni kocha mkuu atupe sababu za msingi. Hii ni timu ya taifa na uteuzi wa wachezaji unahitaji mawazo mapana hasa ukizingatia ugeni wa kocha mkuu.
Watueleze vigezo vipi vimemuengua Erasto Nyoni ili tukubaliane nao. Bora wasingemuita hata Kapombe lakini si fundi Erasto Nyoni.
Huyu jamaa anazeeka na mpira wakeMkuu jamaa katulia kinoma ukiangalia kipindi cha kwanza jamaa walikuwa wakipambana kukamata kati ila jamaa akawa anatuliza mipira na kuturudisha kwenye game alipoingia Boko na feisal Nyoni akamaliza kazi pale kabisa akisaidia na yahaya mudadhiri hatariiiiiiii
29 kazeeka hapo ?Huyu jamaa anazeeka na mpira wake
Mkuu Yanga walizidiwa hela.Kocha wa simba alivyomuona Nyoni anavyocheza pale kati atakuwa amechanganyikiwa maana yeye amezoea kumpanga beki wa kati hawa azam watakuwa wanajuta kumwacha Nyoni huku yanga wakisikitika walivyozidiwa mahesabu na simba dakika za mwesho kumsajili