ERB report, kwa anayefahamu taratibu za kuandaa na kukamilisha engineering reports

wazanaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
1,092
Reaction score
808
wakuu, kuna mdogo wangu ni graduate engineer, amefanya kazi miaka mitano kwenye kampuni ya mambo ya umeme, na sasa anaandika report ya kuwasilisha ERB ili aweze kusajiliwa awe professional engineer. je taratibu ni zipi. kuna mtu anafahamu taratibu zozote?
 
kwa kifupi ni kwamba ashamaliza kuandika, submission process inakuaje
 
Kila kitu kipo kwenye tovuti ya ERB, kingine huyo mdogo wako atafute wahandisi wazoefu waliosajiliwa watampa maelekezo katika fani husika
 
Umefanya kaz miak 5 na hujui unawasilish wap report yako

Utakuwa PE kwel ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…