Eric Hamissi aliyekuwa DG wa TPA kaonewa baada ya kukataa kuhonga wanasiasa kama enzi za zamani

Eric Hamissi aliyekuwa DG wa TPA kaonewa baada ya kukataa kuhonga wanasiasa kama enzi za zamani

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
WNAJAMVI,

huyu DG tangia aingie TPA amejitahidi sana kuziba mirija ikiwemo kuhakikisha kila mtu analipa anachotakiwa.

Lakini makampuni kama silent ocean na GSM wamekuwa wakilazimisha wapewe eneo wawekeze kinyume ya sheria ya PPP lakini yeye aliwaeleza wafuate utaratibu wa uwekezaji.

Wanasiasa na wajumbe wa bodi wamekuwa wakitaka kupewa mafedha bure tofauti na utaratibu akawa anakataa.

Wanasiasa mbalimbali hasa wanaofanya baishara nao wamekuwa wakilazimisha walipe kidogo kuliko utaratibu lakini alikataa, na matokeo yake wakamwambia mama lazima atamtuoa. Nakwakuwa akina silent ocean, wanawasiliana na kinanan mojakwa moja basi wakamtengezea figisu na MAMA KAINGIA MKENGE KUMTOA.

MAMA NASEMA UNAWASIKILIZA SANA HAO WAFANYAbiashara na wanasiasa hadi ukamtoa DG kwa kufanya kazi vizuri kama kweli DG ni mbovu kutokana na utendaji mbovu kwanini usivunje board harafu uitangaze nafasi ya DG ili watu washindane na ulete watanzania kutionga banadari za mbali wanakofanya kazi kama kweli unania?

MAMA NASEMA TENA USIKUBALI KUDANGANYWA NA KUFUKUZA WATU WAZURI KISA WAMESHINDWA KUWASIKILIZA WANASIANSA NA WAFANYABIASHARA
 
Eh hawa hawa wanao izamin utopolo wanasema wao watachukua uningwa hadi 2030 🤣🤣🤣🤣 zindeghiiiii merinaheeee
 
ERIC KAONEWA KWA VISINGIZIO VYA WARAFI
 
Ukijifanya msafi Tanzania imekula kwako muulize yule Polisi akuambie yaliyomkuta
 
Na vipi kuhusu kampuni ya Suma Jkt pale bandari inavyowanyonya vibarua kwa kuwapa pesa ndogo, na wanafanya kazi kubwa tena katika shirika kubwa.
 
Kila KITI kina gharama yake, pole kwake na familia inayomtegemea
 
Inayotosha nauli kwenda kazini na kurudi, kununua chai asubuhi, kununua chakula cha mchana na kubaki na buku mbili au tatu akijibana sana.
Hapo lazima kuna malipo yao mengine yamekatwa,yanaenda kwa
Watu fulani wanakula jasho lao kiulaini

Ova
 
Mkubwa wa Pale bandarini anaajiriwa ili afukuzwe.

Ukipata hiyo nafasi pale, Inabidi ukiingia UPIGE kazi hata kama nafsi haitaki...hakuna namna.
Tanzania ni yetu sote!
 
Back
Top Bottom