Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio low IQ hizi , hapo kuna sehemu nimesema alikuwa smart ?Kwahyo Jiwe alikuwa smart?
Pambaaaaaav zako
Kakujengea daraja, kila siku ukitoka kwenu kitunda unapita juu na ki vitz chako.Kwahyo Jiwe alikuwa smart?
Pambaaaaaav zako
New Year sitaki nkutukane.Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Kwa nini asiaminiwe Eric uaminiwe wewe na uzi wako?Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Alibeba saruji mifuko mingapi?Kakujengea daraja, kila siku ukitoka kwenu kitunda unapita juu na ki vitz chako.
Hilo nalo hulioni?
Neno lake sheria.Alibeba saruji mifuko mingapi?
Na akatoa hela zake?Neno lake sheria.
Hela zako peke yako zisingeweza kufanya chochote, ndio maana ikatubidi wote tuchangie.Na akatoa hela zake?
Acha kubugia upepo.Asingekuwa rais nani angetekeleza?Hela zako peke yako zisingeweza kufanya chochote, ndio maana ikatubidi wote tuchangie.
Lakini utekelezaji akafanya yeye.
Nani mwenye utaalamu wa afya ya akili kampima athibitishe?Kabendera ameandika kitabu akiwa na ugonjwa wa afya ya akili ndiyo maana kaandika huo ujinga.
Lizaboni kaelezea matukio yanayotia shaka huyo mwingine kaandika kutoka kichwaniKwa nini asiaminiwe Eric uaminiwe wewe na uzi wako?