Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na wewe ukaiamini hiyo shaka bila ushahidi?Lizaboni kaelezea matukio yanayotia shaka huyo mwingine kaandika kutoka kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ukaiamini hiyo shaka bila ushahidi?Lizaboni kaelezea matukio yanayotia shaka huyo mwingine kaandika kutoka kichwani
Nenda kamuulize kaburini huko unamuiliza nani humuJiwe alikuwa katili sana, alijua ataishi milele?
Endelea kupiga ramli chonganishiBen Saanane inaonekana aliondolewa na mtu mkubwa sana...hata polisi hata mawaziri hawakudhubutu kuliongelea hili...sasa jiulize ni nani mkubwa kuliko polisi na mawaziri, mimi nawewe tunauja kwa kipindi hicho hakuwa Ndugai wala jaji mkuu waliokua wamejichokea, kuna mzee mmoja alikua anapiga sana push-up majukwaani na kutoa bastola mfukoni!
Hawa wanaandika vitabu wauze wanaokoteza story tu.Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Anataka kupata utajiri kwa njia ya uzushi familia ikae iangalie jinsi gani ya kabendera atalipa mamilion akishindwa kutoa ushahidi!Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Paclocks alimtaka jamaa akiwa hai baada ya kuhoji PhD yake fake ya jalalani. Unaambiwa siku alipompata kwanza alivuta skanka sana na kubwia grants za kutosha kisha akamchapa muzbag ya kichwa jamaa wa watuWanasiasa dunia nzima most of them wana akili ndogo .
Kuna uwezekano mkubwa ⏰8 was killed by padlocks Alcohol
Anataka kupata utajiri kwa njia ya uzushi familia ikae iangalie jinsi gani ya kabendera atalipa mamilion akishindwa kutoa ushahidi!
Kama kupotea kwa Ben saa name ni kazi ya mbowe basi nchi hii Haina serekaliFreeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Magufuli ni muuaji, hakuwa na adabu wala heshima.Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Amejenga kwa mshahara wake?Kakujengea daraja, kila siku ukitoka kwenu kitunda unapita juu na ki vitz chako.
Hilo nalo hulioni?
Kaandika ukweli.Kabendera ameandika kitabu akiwa na ugonjwa wa afya ya akili ndiyo maana kaandika huo ujinga.
This is wake up call tuache ushamba kuuua eatu sababu ya kupishana mitazamo au kukosoa serikali lwani wao miungu ?? Ujinga na ushamba kuua wenzako kisa siasa......Babu eeh, Kwa aina ya Siasa za Nchi hii, Kwamba Polisi , washindwe kujua yuko wapi?.
Wakaombwa wasaidiwe na mashirika ya Kimataifa ya upelelezi, ikawaje ??.
Simkubali MWENYEKITI hata Kidogo, ILA HANA KABISA UJANJA WA KUFANYA TUKIO KAMA HILO NA LISIACHE ALAMA HATA KIDOGO.
Matukio yake yanatabirika , ukikaa ukatuliza Kichwa tu unaona hili Mwenyekiti ana mkono.
Kulikua na haja gan ya kutafuta jinsi ya UGAIDI , Kwa Muuaji ?? Siingetosha tu hiyo kumtia Ndani ,Tena hapo ndo wangechomekea kabisa chama kinaratibu vikundi vya mauaji nchini.. ilishindikana nn mpaka kutafuta ushahidi wa uongo ule mwisho wake ukawa ni aibu Kwa mashahidi.
Mimi nishauri, Hatupaswi kua MACHAWA kiasi Cha vichwani tubakiwe na matope ya kuvukia barabara na kwendea chooni.
Na nyinyinaosifiwa kichawachawa huku mnajijua mlivyo, muache kupenda hiyo tabia.
Tanzania sio Ile ya miaka ilee ambayo UJINGA alikua ni adui namba Moja.
2025 sasa,.Bado Kuna MTU utamdanganya kirahisi Ivo?.
Mimi,wewe,yeye na wale tulichanga hela kwa pamoja ndio akafanikisha.Amejenga kwa mshahara wake?
Sasa kwa akili yako wewe kiazi mbatata, ben sa8 auliwe halafu raisi asingiziwe na serikali ikae kimya? Mbona tunasikia huko walio muua katibu wa ccm wanao hisiwa wanakamatwa? Vip kuhusu walio muua kibao, na wengine wa jamii ya kibao, serikali mbona haijakamata mtu had sasa? Tena wengine ushahidi wa mazingira na mahali pakuanzia uchunguzi papo wazi kabisa lakini wapo kimya, hiyo haitoshi kukupa jibu kuwa wauaji ni wao na hawawezi kujichunguza ndio maana wapo kimya?hili mbona hata chizi hahitaji kuelekezwa maana lina jieleza lenyewe.Ndio low IQ hizi , hapo kuna sehemu nimesema alikuwa smart ?
Sasa unaposema ametujengea daraja unamaanisha nini?Mimi,wewe,yeye na wale tulichanga hela kwa pamoja ndio akafanikisha.
Hata zingekua zako peke yako zisingetosha kujenga daraja.