Eric Omondi mmoja ni sawa na wasanii wa bongo 200

Eric Omondi mmoja ni sawa na wasanii wa bongo 200

Wewe mchango wako upi kwa taifa? Mbona ww hupeleki kengele zako ila unataka wasanii wakufanyie kile wewe kimekushinda!

..wasanii wa Tz wakae mbali na waache kujipendekeza kwa mafisadi.
 
Alafu ana muuliza "should I call you mister?" [emoji23][emoji23]

Baadae tena ana muuliza "How can I describe you?" [emoji23][emoji23]

Simon Kaggwa Njala, interview zake wengi wanazikimbia, ana maswali ya kutia hasira.
Hahahahahahahaha
We jamaa buana
 
Alafu ana muuliza "should I call you mister?" [emoji23][emoji23]

Baadae tena ana muuliza "How can I describe you?" [emoji23][emoji23]

Simon Kaggwa Njala, interview zake wengi wanazikimbia, ana maswali ya kutia hasira.
hahahahahahahaha huyo mwamba ni hatari
 
hana mashabiki na wala hachekeshi tena, anacheka mwenyewe tu siku izi..

nadhani ameona pakujifichia ni huku kwenye siasa japo haungwi mkono sana mtaani kwa aina na mtindo wake anaojaribu kuingia nao kwenye siasa,

na ndio maana anakamatwaga na polisi yeye na yeye pekeyake tu hata kama kuna waandamanaji wengine 50. huwa ni kama anajikamatisha tu au analazimisha akamatwe yeye tu....

Yes, hua ana hoja,
na hakuanza leo au jana kuikosoa na kuishauri serikali ya Kenya juu ya mambo kadha wa kadha hususani bei ya unga, bei ya mafuta, mafuriko, miraa, ubomoaji kiholela, kiujumla hua anapambania hali ya maisha kwa mkenya na hivi sasa anapinga muswada wa fedha wa serikali ya kenya, kwa mwaka 2024/2025, sawa na msimamo wa kambi ya upinzani Kenya.....

mbali na kubumba kwenye uchekeshaji na kujificha kwenye siasa, pia alivutiwa sana na wasanii wa Tanzania walifanikiwa kuingia kwenye siasa na kufanikiwa, na kwahivyo analenga kuweka record kwa miongoni mwa wasanii kenya kufanikiwa kisiasa..,...

wasanii wengine aliovutiwa nao na kuingia kwenye siasa ni pamoja na Bob wine wa Uganda

kwahivyo, si kweli eti Eric anaweza kua maridadi kihivyo kama anavyodai mtoa hoja, but kwa maoni yangu, kwenye sanaa na siasa hafikii hata robo kwa mwànaFA au Niki waPili 🐒
Vipi anamfikia SUGU? Niki hana maajabu yoyote kwenye siasa na sanaa.
 
Bongo majinga mengi na wenye akili wameamua kujitoa akili waneemeke. 😂
Mhu 10:5‭-‬7 SUV
Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye atawalaye; ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi hukaa mahali pa chini. Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.


Ecclesiastes 10:5‭-‬7 CEB
There’s an evil that I have seen under the sun: the kind of mistake that comes from people in power. Fools are appointed to high posts, while the rich sit in lowly positions. I have seen slaves on horseback, while princes walk on foot like slaves.

 
Back
Top Bottom