Wewe mchango wako upi kwa taifa? Mbona ww hupeleki kengele zako ila unataka wasanii wakufanyie kile wewe kimekushinda!
..wasanii wa Tz wakae mbali na waache kujipendekeza kwa mafisadi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mchango wako upi kwa taifa? Mbona ww hupeleki kengele zako ila unataka wasanii wakufanyie kile wewe kimekushinda!
Nimeshasema watanzania ni wanafiki sana sasa wewe wachambue..Mama Abduli, Ccm, na genge la wateule wake, nao ni sehemu ya Watz uliowaita wanafiki, hivyo wa wao hawastahili kutetewa.
Sisi ni wapambanaji wazuri sana nyuma ya keyboard ⌨️ ila kiuhalisia, nani akafe mbele ya kamanda muriloMwanangu umewajua vyema wabongo ww angalia mpina katoa fact lakini utashangaa watu wako kimyaaa na ataadhibiwa na majizi sisi tunaangalia tu hata kuandamana hakuna
Nimeshasema watanzania ni wanafiki sana sasa wewe wachambue
Anaitwa Bibi 🐸 na genge lake ni wanafiki sana..kwa hiyo unasema Mama Abduli,na genge lake, ni wanafiki?
HahahahahahahahaHiyo avatar nikiona nakumbuka ile interview jamaa mmoja alifanyiwa na kuulizwa "why are you gay?"
Hahahahahahahaha
We jamaa buana
hahahahahahahaha huyo mwamba ni hatariAlafu ana muuliza "should I call you mister?" [emoji23][emoji23]
Baadae tena ana muuliza "How can I describe you?" [emoji23][emoji23]
Simon Kaggwa Njala, interview zake wengi wanazikimbia, ana maswali ya kutia hasira.
Vipi anamfikia SUGU? Niki hana maajabu yoyote kwenye siasa na sanaa.hana mashabiki na wala hachekeshi tena, anacheka mwenyewe tu siku izi..
nadhani ameona pakujifichia ni huku kwenye siasa japo haungwi mkono sana mtaani kwa aina na mtindo wake anaojaribu kuingia nao kwenye siasa,
na ndio maana anakamatwaga na polisi yeye na yeye pekeyake tu hata kama kuna waandamanaji wengine 50. huwa ni kama anajikamatisha tu au analazimisha akamatwe yeye tu....
Yes, hua ana hoja,
na hakuanza leo au jana kuikosoa na kuishauri serikali ya Kenya juu ya mambo kadha wa kadha hususani bei ya unga, bei ya mafuta, mafuriko, miraa, ubomoaji kiholela, kiujumla hua anapambania hali ya maisha kwa mkenya na hivi sasa anapinga muswada wa fedha wa serikali ya kenya, kwa mwaka 2024/2025, sawa na msimamo wa kambi ya upinzani Kenya.....
mbali na kubumba kwenye uchekeshaji na kujificha kwenye siasa, pia alivutiwa sana na wasanii wa Tanzania walifanikiwa kuingia kwenye siasa na kufanikiwa, na kwahivyo analenga kuweka record kwa miongoni mwa wasanii kenya kufanikiwa kisiasa..,...
wasanii wengine aliovutiwa nao na kuingia kwenye siasa ni pamoja na Bob wine wa Uganda
kwahivyo, si kweli eti Eric anaweza kua maridadi kihivyo kama anavyodai mtoa hoja, but kwa maoni yangu, kwenye sanaa na siasa hafikii hata robo kwa mwànaFA au Niki waPili 🐒
Mhu 10:5-7 SUVBongo majinga mengi na wenye akili wameamua kujitoa akili waneemeke. 😂