Hao OFM tunawachora kwa mbaali.
Tunayajua yao mengi tu ila tunaheshimiana kwa kua hii ni biashara.
Juzi kigogo wa hapo hapo kamfuma "nyongo mkalia ini wake" mkewe wa ndoa ana mahusiano ya ki-ngono kwa zaidi ya miezi 6 na "dogo" kitengo cha usambazaji. Wote ni "makamanda" wa mjengo huo
Tena mke mtu alikua anamsifu dogo kwa upigaji mzuri wa "kabang". Jamaa nusu kupoteza "network forever". Aliishia kulalama kwa washkaji zake huku akiwaonesha SMS za mkewe huku akilalama "mamsapu kumuheshimu kote mwisho kanifanyia hivi??? sio kwamba sipigi kabang nje, napiga na yote ni kumuheshimu mamasapu leo hii ananidhalilisha". Jamaa ilibidi kuchukua likizo na mamsapu.
Kwani mke wa muheshimiwa OFM hakufanya maovu kupigwa "kabang" nje ya ndoa ???? OFM ilikua wapi???? hawakujua???? Mimi niliye mbali na DSM nimejua vipi???? OFM si ni kikosi cha upelelezi???? hawafahamu mwenzao yaliyomkuta???? Kamanda Mnali alisafiri nje ya nchi????
warumi hao ndugu zetu wao sio malaika, tunawajua kama viganja vya mikono, OFM waendelee kuandaa mafumanizi uchwara kwa ushirikiano na Malaya wa mjini "hao wanafunzi na wake za watu feki" Mnali anaelewa ninacho maanisha. Dawa yao ipo jikoni na hao polisi njaa wanaoshirikiana katika mafumanizi ya kupangwa.
OFM endeleeni kuchukua rushwa kwa wale wanaoogopa kuwekwa "front page"
Ndugu zangu wapenda "papuchi"/"mihogo ya kina Mandingo" msiopoe hivi vidada/vijamaa vinavyojirahisisha kwa muda mfupi, ni miradi ya watu katika kuingiza mamilioni.
Tubaki na ndoa zetu/wapenzi wetu kwani ukiingia 18 ya OFM na wenzao umekwisha. kuna wafanya biashara, usalama wa taifa, wajeshi, viongozi wa ki-siasa, viongozi wa dini n.k wamenasa humo na kuhonga mamilioni ya shekeli. Waliojifanya vichwa ngumu, walitokelezea "front page" balls/p#**$y hanging!
OFM toeni magogo machoni penu ndio muondoe boriti katika macho ya jamii.
TAHADHARI!