Eric Shigongo afunguka kuhusu scandal ya ushoga

Mbona hujatuitaa,ehee kazisoma pm zetu,kumbe jamii ni fasihii inafikisha ujumbee kwa hadhiraaa
 

Vipi yeye alishawahi kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen parties.
 
Vipi yeye alishawahi kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen parties.
hao al qaida walikuwa chini ya boss ruuuge.. sasa atawashtaki vp? na ye kipnd kile alikuwa siyo habari ya mjini sana..
 
Hamna kitu povu tu,gossip news not true news
 
Upande wa pili! Huyu jamaa kupitia magazeti yake kawapa ulaji na umaarufu watu wengi bongo hii.
Ana mchango mkubwa hasa katika ulimwengu wa kupashana habari,burudani na ajira kwa ujumla.
 
Pole sana Shigongo. Hawa wanao lalamika wanaandikwa au kuchafuliwa wanapenda kuchafuliwa na kuandikwa na ni ukweli ndio maana hakuna hata mmoja wao ambaye ameshawai kufile case na kushinda.

kwanini Oparesheni fichua maovu OFM inadeal na mara wanaojiuza, wamefumaniwa kwanini

asifichue maovu hata kwenye ufisadi!!!!! kwenye dawa za kulevya... na maeneo mengine nyeti...........

Dar live kule Zakhiem watu wanauza mbunye kama karanga huwezi kuona OFM imetoa habari za kule unakuta

imetoa habari Denti kafumaniwa na mzee mtu mzima ukiona huyo mwanafunzi hata sura ya kuwakilisha unafunzi

haipo ukimuona ni mama mtu mzima na inawezekana ana vijukuu nyumbani
 
Kumbe Mr. Ruge alikuwa uso wa mbuzi kitambo sana eeeh!

"Nlikuwepo":bolt:
 
Hao OFM tunawachora kwa mbaali.

Tunayajua yao mengi tu ila tunaheshimiana kwa kua hii ni biashara.

Juzi kigogo wa hapo hapo kamfuma "nyongo mkalia ini wake" mkewe wa ndoa ana mahusiano ya ki-ngono kwa zaidi ya miezi 6 na "dogo" kitengo cha usambazaji. Wote ni "makamanda" wa mjengo huo

Tena mke mtu alikua anamsifu dogo kwa upigaji mzuri wa "kabang". Jamaa nusu kupoteza "network forever". Aliishia kulalama kwa washkaji zake huku akiwaonesha SMS za mkewe huku akilalama "mamsapu kumuheshimu kote mwisho kanifanyia hivi??? sio kwamba sipigi kabang nje, napiga na yote ni kumuheshimu mamasapu leo hii ananidhalilisha". Jamaa ilibidi kuchukua likizo na mamsapu.

Kwani mke wa muheshimiwa OFM hakufanya maovu kupigwa "kabang" nje ya ndoa ???? OFM ilikua wapi???? hawakujua???? Mimi niliye mbali na DSM nimejua vipi???? OFM si ni kikosi cha upelelezi???? hawafahamu mwenzao yaliyomkuta???? Kamanda Mnali alisafiri nje ya nchi????
warumi hao ndugu zetu wao sio malaika, tunawajua kama viganja vya mikono, OFM waendelee kuandaa mafumanizi uchwara kwa ushirikiano na Malaya wa mjini "hao wanafunzi na wake za watu feki" Mnali anaelewa ninacho maanisha. Dawa yao ipo jikoni na hao polisi njaa wanaoshirikiana katika mafumanizi ya kupangwa.

OFM endeleeni kuchukua rushwa kwa wale wanaoogopa kuwekwa "front page"

Ndugu zangu wapenda "papuchi"/"mihogo ya kina Mandingo" msiopoe hivi vidada/vijamaa vinavyojirahisisha kwa muda mfupi, ni miradi ya watu katika kuingiza mamilioni.

Tubaki na ndoa zetu/wapenzi wetu kwani ukiingia 18 ya OFM na wenzao umekwisha. kuna wafanya biashara, usalama wa taifa, wajeshi, viongozi wa ki-siasa, viongozi wa dini n.k wamenasa humo na kuhonga mamilioni ya shekeli. Waliojifanya vichwa ngumu, walitokelezea "front page" balls/p#**$y hanging!

OFM toeni magogo machoni penu ndio muondoe boriti katika macho ya jamii.

TAHADHARI!
 
Vipi yeye alishawahi kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen parties.

Alivyokuwa anaongea alikuwa anatia huruma , anasema kipindi hicho alikuwa hana nguvu kwenye jamii kama sasa ivi, kumbe alikuwa analia anajifungia ndani anakwambia hatak kujiunga wala kusoma social networks zozote kama Facebook, whatsaapp, Twitter yaan hatak kujiumiza roho na mitandao hiyo hvyo hayupo uko tena na hatak
 
hao al qaida walikuwa chini ya boss ruuuge.. sasa atawashtaki vp? na ye kipnd kile alikuwa siyo habari ya mjini sana..

Sawa sawa alisema hvyo hvyo, kipindi hcho alikuwa hana nguvu kwenye Jamii, ruge ndo habar ya mujini alikuwa
 
Naona wenzie walishamsahau sasa anajipa tu promo ili wajue kama bado yumo kundini na anaendelea kupiga mtandao wa TIGO kama kawa.
 
Mbona hujatuitaa,ehee kazisoma pm zetu,kumbe jamii ni fasihii inafikisha ujumbee kwa hadhiraaa

Message sent and delivered , sasa huyo shoga Sijui ni aunt bilali au Suzy, maana kipindi kile mashoga walikuwa wa kuhesabu sana , kumbe sintah naye Nouma alimtingisha had shigongo duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…