Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Shigongo. Hawa wanao lalamika wanaandikwa au kuchafuliwa wanapenda kuchafuliwa na kuandikwa na ni ukweli ndio maana hakuna hata mmoja wao ambaye ameshawai kufile case na kushinda.
POLE SANA.
Ndio maana Wema Sepetu pamoja na kukutukana wewe na Global publishers na kuleta vurugu bado alikubali kushiriki katika shindano lililo andaliwa na kampuni yako na akawa mshindi. Hapa ndio utajua hawa wanao sema wana chafuliwa na wewe ni wagonjwa na wanafiki.
hao al qaida walikuwa chini ya boss ruuuge.. sasa atawashtaki vp? na ye kipnd kile alikuwa siyo habari ya mjini sana..Vipi yeye alishawahi kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen parties.
Vipi yeye alishawahi
kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali
alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen
parties.
Pole sana Shigongo. Hawa wanao lalamika wanaandikwa au kuchafuliwa wanapenda kuchafuliwa na kuandikwa na ni ukweli ndio maana hakuna hata mmoja wao ambaye ameshawai kufile case na kushinda.
hao al qaida walikuwa chini ya boss ruuuge.. sasa atawashtaki vp? na ye kipnd kile alikuwa siyo habari ya mjini sana..
Your brain needs an overhaul, unachokizungumza ni upuuzi, ujinga na matusi ya kishenzi!
Dah! Precise point, una degree ngapi mkuu?
Vipi yeye alishawahi kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen parties.
Mbona hujatuitaa,ehee kazisoma pm zetu,kumbe jamii ni fasihii inafikisha ujumbee kwa hadhiraaa