qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Message sent and delivered , sasa huyo shoga Sijui ni aunt bilali au Suzy, maana kipindi kile mashoga walikuwa wa kuhesabu sana , kumbe sintah naye Nouma alimtingisha had shigongo duh
Alivyokuwa anaongea alikuwa anatia huruma , anasema kipindi hicho alikuwa hana nguvu kwenye jamii kama sasa ivi, kumbe alikuwa analia anajifungia ndani anakwambia hatak kujiunga wala kusoma social networks zozote kama Facebook, whatsaapp, Twitter yaan hatak kujiumiza roho na mitandao hiyo hvyo hayupo uko tena na hatak
Vipi yeye alishawahi kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen parties.
kwanini oparesheni fichua maovu ofm inadeal na mara wanaojiuza, wamefumaniwa kwanini
asifichue maovu hata kwenye ufisadi!!!!! Kwenye dawa za kulevya... Na maeneo mengine nyeti...........
Dar live kule zakhiem watu wanauza mbunye kama karanga huwezi kuona ofm imetoa habari za kule unakuta
imetoa habari denti kafumaniwa na mzee mtu mzima ukiona huyo mwanafunzi hata sura ya kuwakilisha unafunzi
haipo ukimuona ni mama mtu mzima na inawezekana ana vijukuu nyumbani
Your brain needs an overhaul, unachokizungumza ni upuuzi, ujinga na matusi ya kishenzi!
Kumbe sintah jemedali eeh? Ni Nouma wamuundie tena kundi la al shabaab akome , nipo radhi kujitolea bureee kumkomesha huyu mfir@j
Maza fanta unatoka povu la nini kila au nawe bwa.....a
Bw...a Baba ako, mse...g.. mkubwa wewe, akili ndogo unazileta kwenye jukwa la maana, si ungekaa nyumbani ukande maandazi?
Una ushahidi gani kuwa kiongozi wako uliemtaja ni shoga kama sio matatizo ya ushoga yamekuathiri?
Tatizo ni kuwa mtu akiwa mliberali, huwa anaamini kuwa kila mtu ana interests hizo. Ukitaka kujua kuwa umeandika ujinga, tafuta waliokusupport! Humu ni kwa wastaarabu sio ngedere!
Huyu c walisema
ana.....wa n mheshimiwa first class au siyo, ila hata mheshmiwa c rizki
kutwa kuchekacheka n mipasho, realman hawezi kua n mipasho n kucheka
inawezekana nae anapakua n kupakuliwa
Upande wa pili! Huyu jamaa kupitia magazeti yake kawapa ulaji na umaarufu watu wengi bongo hii.
Ana mchango mkubwa hasa katika ulimwengu wa kupashana habari,burudani na ajira kwa ujumla.
Huyu jamaa anaphira.period
Hii ni lugha ya Sho.g, unakielewa ulichokiandika?
Afafanue jinsi anavyo phira au?
Huko amewaachia wakina zitto kabwe yeye amejikita kijamii zaidikwanini Oparesheni fichua maovu OFM inadeal na mara wanaojiuza, wamefumaniwa kwanini
asifichue maovu hata kwenye ufisadi!!!!! kwenye dawa za kulevya... na maeneo mengine nyeti...........
Dar live kule Zakhiem watu wanauza mbunye kama karanga huwezi kuona OFM imetoa habari za kule unakuta
imetoa habari Denti kafumaniwa na mzee mtu mzima ukiona huyo mwanafunzi hata sura ya kuwakilisha unafunzi
haipo ukimuona ni mama mtu mzima na inawezekana ana vijukuu nyumbani
Bwana Eric James shigongo ambaye ni mmliki wa kampuni ya Global publisher, kampuni inayojishughulisha na uchapishaji wa magazeti, amefunguka rasmi kuhusu Tetesi zilizoenea kuhusu yeye kushiriki mapenzi ya jinsia ya moja(ushoga).
Akisimulia kwa masikitiko mjasiriamali huyo anadai mbinu hiyo chafu iliundwa na kundi maarufu miaka hiyo lililojulikana kama AL-QAEDA NETWORK lilioundwa na akina sintah, marehemu amina chifupa, maimartha wa Jesse na sista v. Kundi hili liliundwa rasmi kwa ajili ya kupambana na wezi wa wanaume wa watu pamoja na shigongo ambaye anadaiwa kuwachafua wanawake akiwemo marehemu amina chifupa miaka hiyo.
Kwa mujibu wa shigongo kundi hilo lilikuwa na uhusiano mzuri na clouds FM ambapo kipindi hicho walikuwa hawaelewani, shigongo anasema hakuwa na mahusiano mazuri na ruge mutahaba, sababu ilikuwa ni magazeti ya shigongo kumchafua marehem amina jambo ambalo lilimchefua ruge. Ambapo kwa kushirikiana na kundi la alqaeda liliunda mbinu chafu kwa ajili ya kumchafua shigongo.
Shigongo anasema kundi hilo la al-qaeda lilimkodisha shoga maarufu wa kinondoni wakawa wanamlipa ili kila akialikwa kwenye kitchen party awe anasema yeye ni mke wa shigongo.
Skendo hiyo ambayo ilimtesa sana Eric na kumfanya awe anajifungia chumbani na kulia kila wakati kama mtoto mdogo, ambayo anadai ililenga kumdhalilisha mbele ya jamii.
Eric amekuwa akichukiwa sana na kuwa na maadui wengi kama mastaa pamoja na baadhi ya wanajamii wanaodai kuwa magazeti yake yamelenga kuwachafua katika Jamii.
STORY PREPARED AND NARRATED BY ERIC JAMES SHIGONGO.
COPIED AND EDITED BY warumi