Eric Shigongo afunguka kuhusu scandal ya ushoga

Eric Shigongo afunguka kuhusu scandal ya ushoga

Message sent and delivered , sasa huyo shoga Sijui ni aunt bilali au Suzy, maana kipindi kile mashoga walikuwa wa kuhesabu sana , kumbe sintah naye Nouma alimtingisha had shigongo duh

Hilo kundi nalikumbuka na enzi zao walimpa sana presha shigongo nadhan kifo cha Amina alipumua.
 
Alivyokuwa anaongea alikuwa anatia huruma , anasema kipindi hicho alikuwa hana nguvu kwenye jamii kama sasa ivi, kumbe alikuwa analia anajifungia ndani anakwambia hatak kujiunga wala kusoma social networks zozote kama Facebook, whatsaapp, Twitter yaan hatak kujiumiza roho na mitandao hiyo hvyo hayupo uko tena na hatak

Mwosha huoshwa...
 
Hilo kundi nalikumbuka na enzi zao walimpa sana presha shigongo nadhan kifo cha Amina alipumua.

Kumbe sintah jemedali eeh? Ni Nouma wamuundie tena kundi la al shabaab akome , nipo radhi kujitolea bureee kumkomesha huyu mfir@j
 
Vipi yeye alishawahi kuwashitaki hao Alquaeda akina Sintah na Marehemu Chifupa ihali alishajua wanawapa mashoga pesa ili wamchafue kwenye kitchen parties.

Bila shaka hana ushahidi wa kupeleka mahakamani.
 
kwanini oparesheni fichua maovu ofm inadeal na mara wanaojiuza, wamefumaniwa kwanini

asifichue maovu hata kwenye ufisadi!!!!! Kwenye dawa za kulevya... Na maeneo mengine nyeti...........

Dar live kule zakhiem watu wanauza mbunye kama karanga huwezi kuona ofm imetoa habari za kule unakuta

imetoa habari denti kafumaniwa na mzee mtu mzima ukiona huyo mwanafunzi hata sura ya kuwakilisha unafunzi

haipo ukimuona ni mama mtu mzima na inawezekana ana vijukuu nyumbani

Heaven on Earth pamoja na global kujikita kufichua maovu lakini pia wanaangalia ambayo yatapata wateja, ndio maana wana wafatilia wale maarufu na kuwaandika hili wapate faida na kufichua maovu.

Hivyo basi si kila baya linaweza kuandikwa, kina choangaliwa ni kama lina lipa na litapata wateja.

Ni mara chache wameandika uongo kuhusu hawa mastaa na ndio maaana hakuna mwenye uwezo wa kuwa sue maana wana jua watashindwa. Alaf hawa wanao lalamika kila leo kuandikwa ndio wanao pendwa kuandikwa na nyota zao zime lalia kwenye hayo magazeti na wana fanya hili waandikwe case study wema.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe sintah jemedali eeh? Ni Nouma wamuundie tena kundi la al shabaab akome , nipo radhi kujitolea bureee kumkomesha huyu mfir@j

Alizidi kuwaandama sana yeye, Nora na marehemu Amina mpk akatoa tuzo ya kuandikwa sana kati ya Nora na Sinta na bidada Sinta akawabingwa.

Kwa Amina it was too mucci sijui alimfanya nn dada wa watu maana mpk alipofariki bado alikuwa ana mwandika na kumuongelea marehemu tena kwa vitu negative.
 
Maza fanta unatoka povu la nini kila au nawe bwa.....a

Bw...a Baba ako, mse...g.. mkubwa wewe, akili ndogo unazileta kwenye jukwa la maana, si ungekaa nyumbani ukande maandazi?
Una ushahidi gani kuwa kiongozi wako uliemtaja ni shoga kama sio matatizo ya ushoga yamekuathiri?
Tatizo ni kuwa mtu akiwa mliberali, huwa anaamini kuwa kila mtu ana interests hizo. Ukitaka kujua kuwa umeandika ujinga, tafuta waliokusupport! Humu ni kwa wastaarabu sio ngedere!
 
Bw...a Baba ako, mse...g.. mkubwa wewe, akili ndogo unazileta kwenye jukwa la maana, si ungekaa nyumbani ukande maandazi?
Una ushahidi gani kuwa kiongozi wako uliemtaja ni shoga kama sio matatizo ya ushoga yamekuathiri?
Tatizo ni kuwa mtu akiwa mliberali, huwa anaamini kuwa kila mtu ana interests hizo. Ukitaka kujua kuwa umeandika ujinga, tafuta waliokusupport! Humu ni kwa wastaarabu sio ngedere!

Wewe c ndio mwalimu wangu wa usen...e ukiacha nami ntaachaa
 
Huyo anajisafisha tu na hana lolote! Kwa ninavyomjua Mimi, kungekuwa na uhasama wa kumuathiri kiasi hicho angekuwa keshakata Mkwanja kitambo kwani hela kwake si tatizo tangu muda mrefu!
Kuna mdogo wake alimuibia milioni 400 alimfanya nini? Anajaribu tu kujisafisha lakini tunaojua hatupelekwi kihivyo, huyu ni mtu asiefaa katika jamii, kaua, kadhalilisha sana watu, kadhulumu na ushahidi upo, ndio leo useme ni kina Sintah?
Kuna dogo alikuwa akifanya kazi pale Bamaga kwenye magazeti yake, aliingia kwenye anga za huyu jamaa, kuna mwanamke wa jamaa akawa anampenda huyo dogo, kilimtokea kibaya sana! Na hilo tuseme ni kina sintah? Bado sana! Ameumiza sana watu!
 
Huyu c walisema
ana.....wa n mheshimiwa first class au siyo, ila hata mheshmiwa c rizki
kutwa kuchekacheka n mipasho, realman hawezi kua n mipasho n kucheka
inawezekana nae anapakua n kupakuliwa

Hii ni lugha ya Sho.g, unakielewa ulichokiandika?
 
Upande wa pili! Huyu jamaa kupitia magazeti yake kawapa ulaji na umaarufu watu wengi bongo hii.
Ana mchango mkubwa hasa katika ulimwengu wa kupashana habari,burudani na ajira kwa ujumla.

Ni kweli! Kama ilivyo kwa wauza sembe ambao wameajiri walinzi, madereva, mashamba boy, mahausigeli, wahasibu, mameneja wa miradi n.k Nao wanatoa ajira lakini haihalalishi maovu yao!
 
kwanini Oparesheni fichua maovu OFM inadeal na mara wanaojiuza, wamefumaniwa kwanini

asifichue maovu hata kwenye ufisadi!!!!! kwenye dawa za kulevya... na maeneo mengine nyeti...........

Dar live kule Zakhiem watu wanauza mbunye kama karanga huwezi kuona OFM imetoa habari za kule unakuta

imetoa habari Denti kafumaniwa na mzee mtu mzima ukiona huyo mwanafunzi hata sura ya kuwakilisha unafunzi

haipo ukimuona ni mama mtu mzima na inawezekana ana vijukuu nyumbani
Huko amewaachia wakina zitto kabwe yeye amejikita kijamii zaidi
 
Bwana Eric James shigongo ambaye ni mmliki wa kampuni ya Global publisher, kampuni inayojishughulisha na uchapishaji wa magazeti, amefunguka rasmi kuhusu Tetesi zilizoenea kuhusu yeye kushiriki mapenzi ya jinsia ya moja(ushoga).

Akisimulia kwa masikitiko mjasiriamali huyo anadai mbinu hiyo chafu iliundwa na kundi maarufu miaka hiyo lililojulikana kama AL-QAEDA NETWORK lilioundwa na akina sintah, marehemu amina chifupa, maimartha wa Jesse na sista v. Kundi hili liliundwa rasmi kwa ajili ya kupambana na wezi wa wanaume wa watu pamoja na shigongo ambaye anadaiwa kuwachafua wanawake akiwemo marehemu amina chifupa miaka hiyo.


Kwa mujibu wa shigongo kundi hilo lilikuwa na uhusiano mzuri na clouds FM ambapo kipindi hicho walikuwa hawaelewani, shigongo anasema hakuwa na mahusiano mazuri na ruge mutahaba, sababu ilikuwa ni magazeti ya shigongo kumchafua marehem amina jambo ambalo lilimchefua ruge. Ambapo kwa kushirikiana na kundi la alqaeda liliunda mbinu chafu kwa ajili ya kumchafua shigongo.

Shigongo anasema kundi hilo la al-qaeda lilimkodisha shoga maarufu wa kinondoni wakawa wanamlipa ili kila akialikwa kwenye kitchen party awe anasema yeye ni mke wa shigongo.

Skendo hiyo ambayo ilimtesa sana Eric na kumfanya awe anajifungia chumbani na kulia kila wakati kama mtoto mdogo, ambayo anadai ililenga kumdhalilisha mbele ya jamii.

Eric amekuwa akichukiwa sana na kuwa na maadui wengi kama mastaa pamoja na baadhi ya wanajamii wanaodai kuwa magazeti yake yamelenga kuwachafua katika Jamii.

STORY PREPARED AND NARRATED BY ERIC JAMES SHIGONGO.

COPIED AND EDITED BY warumi

Mkubal mkatae uyo ndugu yenu ni Mchele tena mchele kitumbi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom