Eric shigongo hakusoma shule ya sekondari kabisa

Elimu sio kitu as longer as unapata pesa
Elimu ni muhimu ili upate pesa. Sema elimu sito lazima uipate darasani katika mfumo rasmi. Unaweza kujifunza kupitia mfumo usio rasmi na ukapata elimu kuliko aliyepita mfumo rasmi
 
watanzania atupendi kuwa appreciate wenzetu kama wanafanya vizuri eti kuna watu wanasema anakopi na kupesti
Thanks mkuu, huyu jamaa kwa sasa namkubali sana kwa mapito yake na mpaka sasa alipo!

Copy and paste haiitaji elimu ya sekondari mkuu.
Acha kujitoa ufahamu wewe, hata kama ingekuwa ku-copy na ku-paste nayo ni kipaji hasa kwa mtu mwenye elimu ya kuchechemea kama yeye! Kiufupi mimi nilitazama na kusikiliza kwa makini kipindi chake chote japo yalikuwepo makosa madogo madogo katika uongeaji wake lakini makosa hayo ni nothing kwangu kulingana na historia ya elimu yake!
Pia jamaa kwa sasa anauelewa mkubwa sana wa mambo ya kijamii na kimaisha kuzidi graduate wengi tu! Na yawezekana hata wewe anakuzidi umebaki na chuki binafsi zako tu!
 

ukweli mtupu
 
Namkubali shigo muuza mafta shely huko zamani ambaye amekuwa bilionea
 
Kajitahidi ukifananisha na kundi kubwa likiokosa elimu. Lakini apunguze habari za umbeya na uongo kwenye media zake. Credibility ya business inajengwa na clean reputation.

sasa mkuu gazeti la udaku liandikwe kama mwananchi na nipashe?

au ulimaanisha nini hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…