Eric Shigongo na Global publishers hii dhambi ya kumfarakanisha Baba Diamond na wanae amto ikwepa.Acheni huu upuuzi mnabomoa

Busara ni shani aliyotujaalia manani. Ni juu yetu kuitumia au kutoitumia ila inabidi tufahamu kuwa tunamkosea mungu kwa kufarakisha waja.
HAKIKA
 
Huyu mzee anazo shida na ana hitaji msaada lakini kukubali kutumiwa na Shigongo kumchafua mwanae ndilo kosa alilo fanya
 
katika watu wanao zidi kunichukiza tz hawa waandishi wa habari wakutafuta watamazaji youtube,trafic web yani mpaka wanaboa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu unaosomaje au kununua magazeti Haya? Daah kweli tunatofautiana
Shigongo ameona fursa na ameitumia effectively, kuna mwandishi wa habari aliwahi nieleza kwamba magazeti ya udaku yanaongoza kwa sales kwa zaidi ya 60%.... Kipindi mitandao haijachanganya wenye magazeti ya udaku kwenye printing house walikuwa wanaogopeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endeleeni kumjaza ujinga tuu.... Thamani ya kuwa na mikono miwili hujulikana pale mkono mmoja unapokatika....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika watu wanao zidi kunichukiza tz hawa waandishi wa habari wakutafuta watamazaji youtube,trafic web yani mpaka wanaboa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! We acha tu! Kwanza majority ya hawa wala sio waandishi wa habari, ni wakanga njaa tu wanaotumia blogging kupata pesa ya kula! Hawa washenzi ndo wanazidi kukera kwa kusambaza videos zisizo na kichwa wala miguu!
 
Endeleeni kumjaza ujinga tuu.... Thamani ya kuwa na mikono miwili hujulikana pale mkono mmoja unapokatika....

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mkono wa pili ni upi?! Ukweli mchungu ni kwamba, ingawaje mbegu inatoka kwa sie wanaume kiasi cha mtoto kufahamika kama ni wa baba lakini MAJUKUMU HALISI ya baba ni malezi ya mtoto na wala sio kwenye kuchangia mbegu ambazo kila siku wanaume wanazitoa kupitia punyeto! Huwezi kuwa sparm dona usiye na msaada wowote kwa watoto halafu eti ujiite mkono wa pili kisa tu ulikojoa shahawa kwa raha zako na matokeo ya shawaha hizo akatokea mtoto ambae wala ukuhangaika nae!! Leo hii Mzee Abdul analia lia kwa sababu tu Diamond ana pesa vinginevyo, si ajabu vilio vyake angekuwa anavipeleka kwingine kama ambavyo hatumsikii akiwalilia watoto wake wengine!!! Kwahiyo unakuwa mkono wa pili kwa mtoto simply because ana pesa?!

Of course, ningekuwa Diamond ningemsaidia Mzee Abdul kwa sababu za kibinadamu lakini siwezi kumlaumu wakati sifahamu how he feels! Binafsi nina mdogo wangu ambae na mwenyewe kakataa mtoto na hadi sasa huwa anajileta pale home lakini dogo anasema hamtambui! Halafu siku ya siku dogo atoboe aanze kumfungia vioo "baba" ake halafu eti mie nimuone dogo ni roho mbaya na hajui umuhimu wa mikono miwili wakati mkono wa pili wenyewe haukuwahi kutambua uwepo wake?!

Ngoja nikuambie! Thamani ya mkono wa pili utaifahamu pale utakapokatika baada ya kuanza kukikosa kile kilichokuwa kinatokana na huo mkono wa pili! Na hicho ninachosema "kukikosa" not necessarily kiwe materia stuff lakini hata kile kinachotokana na emotion!
 
Huyu mzee anazo shida na ana hitaji msaada lakini kukubali kutumiwa na Shigongo kumchafua mwanae ndilo kosa alilo fanya
Sana, anahitaji msaada kwa kweli lakini asipobadilika, watu wataendelea kumfanyia makusudi hivyo hivyo! Diamond mwenyewe keshazoea kusemwa vibaya kwahiyo anakosea sana anapodhani kumshitakia kwenye magazeti ya udaku na hatimae kuonyooshewa zaidi vidole kunaweza kuwa ndo aolution badala ya kutumia njia za busara kumaliza sintofahamu yao! Hivi unakumbuka kama sio 2018 basi 2017, Diamond alisham-post babake kwenye siku ya Father's Day! Ile ilikuwa ni hatua kubwa sana ambayo Mzee Abdul alitakiwa kufahamu kwamba mwanae kaamua kujirudi! Lakini kabla hajajirudi kwa asilimia zote, mara tena huyo kwenye magazeti ya Shigongo! Very stupid!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…