Eric Shigongo: Nilipata kusafiri nchi tofauti, wana hali mbaya sisi tuna nafuu uchumi unakua

Eric Shigongo: Nilipata kusafiri nchi tofauti, wana hali mbaya sisi tuna nafuu uchumi unakua

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Wakuu

Serikali imemaliza tatizo la maji katika Kijiji cha Buswelu, Kata ya Nyanzande, Jimbo la Buchosa, kwa kujenga kisima kirefu kinachotumia nishati ya jua kusambaza maji kwa wananchi.

Ahadi ya kutatua changamoto hiyo ilikuwa miongoni mwa ahadi za Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kwa wananchi wake. Shigongo amesema alifikisha kilio cha wananchi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, na sasa maji yanapatikana na wanakijiji wanayatumia.

Shigongo anasema alipata nafasi ya kutembelea mataifa mbalimbali ambapo alibaini hali za mataifa hayo ni mbaya ukilinganisha na Tanzania kwani uchumi unakua. Huyu jamaa ni chawa wa Rais sana kila anapogusa lazima amtaje Samia mara Uchumi umekua yote ni kuelekea oktoba 2025.


 
Hawa watu wa ajabu sana, sijui wanadhani wao ndio wanaosafiri nje ya nchi peke yao? Hii michawa inajisifia na kusifia hadi kero.... 😲

Tujikumbushe mdau mmoja aliyeihakikishia Dunia kuwa Goma haitaangukia kwenye mikomo ya M23... Kilichotokea ni aibu tupu kwa taifa. 😭

Azitaje basi hizo nchi ambazo zinapitia wakati mgumu kuliko Tanzania tulinganishe! 🤔 💬
 
Wakuu

Serikali imemaliza tatizo la maji katika Kijiji cha Buswelu, Kata ya Nyanzande, Jimbo la Buchosa, kwa kujenga kisima kirefu kinachotumia nishati ya jua kusambaza maji kwa wananchi.

Ahadi ya kutatua changamoto hiyo ilikuwa miongoni mwa ahadi za Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kwa wananchi wake. Shigongo amesema alifikisha kilio cha wananchi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, na sasa maji yanapatikana na wanakijiji wanayatumia.

Shigongo anasema alipata nafasi ya kutembelea mataifa mbalimbali ambapo alibaini hali za mataifa hayo ni mbaya ukilinganisha na Tanzania kwani uchumi unakua. Huyu jamaa ni chawa wa Rais sana kila anapogusa lazima amtaje Samia mara Uchumi umekua yote ni kuelekea oktoba 2025.


View attachment 3262289
Hii ni Lazima kwa serikali yoyote,iliyochsguliwa kuwapa wananchi wake mahitaji Muhimu,maji,shule, hospital nk!
 
Huyu akili yake ina dhana ya zile hadithi zake za kusadikika.
 
Wakuu

Serikali imemaliza tatizo la maji katika Kijiji cha Buswelu, Kata ya Nyanzande, Jimbo la Buchosa, kwa kujenga kisima kirefu kinachotumia nishati ya jua kusambaza maji kwa wananchi.

Ahadi ya kutatua changamoto hiyo ilikuwa miongoni mwa ahadi za Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kwa wananchi wake. Shigongo amesema alifikisha kilio cha wananchi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, na sasa maji yanapatikana na wanakijiji wanayatumia.

Shigongo anasema alipata nafasi ya kutembelea mataifa mbalimbali ambapo alibaini hali za mataifa hayo ni mbaya ukilinganisha na Tanzania kwani uchumi unakua. Huyu jamaa ni chawa wa Rais sana kila anapogusa lazima amtaje Samia mara Uchumi umekua yote ni kuelekea oktoba 2025.


View attachment 3262289
nchi gani hizo azitaje?
 
Wakuu

Serikali imemaliza tatizo la maji katika Kijiji cha Buswelu, Kata ya Nyanzande, Jimbo la Buchosa, kwa kujenga kisima kirefu kinachotumia nishati ya jua kusambaza maji kwa wananchi.

Ahadi ya kutatua changamoto hiyo ilikuwa miongoni mwa ahadi za Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kwa wananchi wake. Shigongo amesema alifikisha kilio cha wananchi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, na sasa maji yanapatikana na wanakijiji wanayatumia.

Shigongo anasema alipata nafasi ya kutembelea mataifa mbalimbali ambapo alibaini hali za mataifa hayo ni mbaya ukilinganisha na Tanzania kwani uchumi unakua. Huyu jamaa ni chawa wa Rais sana kila anapogusa lazima amtaje Samia mara Uchumi umekua yote ni kuelekea oktoba 2025.


View attachment 3262289
Haya majizi ya mali za umma lazima yamsifie Samia, yanaiba bila kusumbuliwa
 
Eti kodi za wananchi wenyewe zinazokusanywa kwa ajili ya miradi ya maendeleo na maboresho hawa machawa wanageuza kuwa hisani au upendeleo wa mama yao.... Du!
Maendeleo ni hisani ya Rais na siyo kodi za watu
 
Wakuu

Serikali imemaliza tatizo la maji katika Kijiji cha Buswelu, Kata ya Nyanzande, Jimbo la Buchosa, kwa kujenga kisima kirefu kinachotumia nishati ya jua kusambaza maji kwa wananchi.

Ahadi ya kutatua changamoto hiyo ilikuwa miongoni mwa ahadi za Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kwa wananchi wake. Shigongo amesema alifikisha kilio cha wananchi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, na sasa maji yanapatikana na wanakijiji wanayatumia.

Shigongo anasema alipata nafasi ya kutembelea mataifa mbalimbali ambapo alibaini hali za mataifa hayo ni mbaya ukilinganisha na Tanzania kwani uchumi unakua. Huyu jamaa ni chawa wa Rais sana kila anapogusa lazima amtaje Samia mara Uchumi umekua yote ni kuelekea oktoba 2025.


View attachment 3262289
Inasikitisha sana mtu kama Shigogo mjasiliamali "Kunywa maji mwanangu" kuwa chawa....Mtu ambaye mwenye Global Publisher yake lakini ajiamini kama anaweza kusimama peke yake bila kuwa chawa wa Mazeri.
 
Wakati anapata ubunge nilitegenea tumepata bonge la mtetezi wa taifa na rasilimali zake kutokana na interview nyingi alizokuwa anafanya kabla zilimuonyesha ni bonge la mzalendo ila baada ya kuupata ubunge na hoja zake nimekuja kubaini ni bonge la chawa wa watawala. Mle bungeni kwa sasa mwenye akili za kujitambua ni Mpina peke yake.
 
Wakati anapata ubunge nilitegenea tumepata bonge la mtetezi wa taifa na rasilimali zake kutokana na interview nyingi alizokuwa anafanya kabla zilimuonyesha ni bonge la mzalendo ila baada ya kuupata ubunge na hoja zake nimekuja kubaini ni bonge la chawa wa watawala. Mle bungeni kwa sasa mwenye akili za kujitambua ni Mpina peke yake.
Nae Kwa Kuwa Hana Ulaji
 
Wakuu

Serikali imemaliza tatizo la maji katika Kijiji cha Buswelu, Kata ya Nyanzande, Jimbo la Buchosa, kwa kujenga kisima kirefu kinachotumia nishati ya jua kusambaza maji kwa wananchi.

Ahadi ya kutatua changamoto hiyo ilikuwa miongoni mwa ahadi za Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kwa wananchi wake. Shigongo amesema alifikisha kilio cha wananchi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, na sasa maji yanapatikana na wanakijiji wanayatumia.

Shigongo anasema alipata nafasi ya kutembelea mataifa mbalimbali ambapo alibaini hali za mataifa hayo ni mbaya ukilinganisha na Tanzania kwani uchumi unakua. Huyu jamaa ni chawa wa Rais sana kila anapogusa lazima amtaje Samia mara Uchumi umekua yote ni kuelekea oktoba 2025.


View attachment 3262289
Anadhani anaetembelea nje ni yeye tu hakuna watsnzania wengine waliotembelea?
Aache kuona watu ni watoto
 
Hivi akija kwenye nchi ambazo umeme haukatiki 24/7 si atawehuka huyu na kuuliza mbona haukatiki?
 
Back
Top Bottom