Eric Shigongo: Nilipata kusafiri nchi tofauti, wana hali mbaya sisi tuna nafuu uchumi unakua

Eti kodi za wananchi wenyewe zinazokusanywa kwa ajili ya miradi ya maendeleo na maboresho hawa machawa wanageuza kuwa hisani au upendeleo wa mama yao.... Du!
Ziro brain kabisa!
 
Mwenyewe nilikuwa na matumaini makubwa naye, kumbe ni mtu wa hovyo kabisa na tapeli tupu
 
Tokea kutudanganya na kitabu chake cha :The president love my wife.Anajiona ana akili sana
 
Eti kodi za wananchi wenyewe zinazokusanywa kwa ajili ya miradi ya maendeleo na maboresho hawa machawa wanageuza kuwa hisani au upendeleo wa mama yao.... Du!
World Bank ni ya CCM? miradi yote unayoiona inakamilika ni kwa ufadhili wa World Bank wasijipigie chapuo waambieni waseme ukweli wasutake mpaka wabanwe vinena na mapumbu
 
Ameshiba pilau huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…