Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Sasa hiyo midevu na minywele kama wamevuta bangi wote!Msikilize Sheikh Ghassani akifanya mahojiano na Eric Kabendera kuhusu kitabu chake na mengi mengine.
View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx
This logical fallacy is called ad hominem.Sasa hiyo midevu na minywele kama wamevuta bangi wote!
Nadhani asili ya Magufuli ni Burundi na alikuwa kijikabila kidogo cha wazinza.Mkuu ondoa ukabila Wasukuma wenyewe hata hatumjui Magufuli katoka ukoo gani.
Kwa hiyo tule kigongo Cha Kasumulu!(Dope).!Naona hadi wasiopendwa leo wanatumika kuweka references, dunia ina majanga hii.
Huyo kabendera amechokonoa hayo ili kufidia madhira aliyofanyiwa, ila haiwezi kuondoa uongo/ukweli kwamba si John tu aliyewahi kuvuta bangi au kufukuzwa shule na bado akawa kiongozi.
Kuwa smart shule au mwema siyo kigezo cha kuwa kiongozi.
Uongozi ni karama.
Unaona sasa. Nilikwambia Wasukuma hatumjui wa ukoo gani huyu.Nadhani asili ya Magufuli ni Burundi na alikuwa kijikabila kidogo cha wazinza.
Hivi mahakama ya mafisadi ilifanya kazi??Moyo wangu una amani Sana juu ya Maisha ya JOHN POMBE MAGUFURI nasema haya kwa sababu ni aina ya watu wachache walio tuonyesha kua work must be done/ punda afe mzigo ufike. Waafrika wengi na watu weusi Wana ka uzembe ka kuzaliwa nako.
Hakua na longo longo ni mtu mwenye huruma na alituonyesha trela.. WATANZANIA wengi tunampenda/wanampenda Sanaa jamaa alikua jiwe kweli kweli/ chuma kweli kweli.. likitajwa jina lake mafisadi yanatetemeka..wapiga Dili wana jikojolea.. likitajwa jina la MAGUFURI WAZALENDO wanagonga cheers
NB.
Kabendera anacho kifanya binafsi nimejikuta na kerwa/ kasirika/ chukia/ je watu wa familia ya JPM/ wanajisikiaje/ watajisikiaje / haikubarik na huu upotoshaji... kabendera must pay for it.
Anaweza sema lolote kwa sasa kipi anafaidika kama ndani alishalazwa yeye ni mchumba tu kwa jpm!Ni Erick Kabendera tena! Akihojiwa na muandishi Ghassan kuhusu kitabu chake IN THE NAME OF THE PRESIDENT, amesema alifanya mahojiano na waalimu wa JPM pale Katoke Seminary, wakamwambia kwamba JPM alifukuzwa seminary kutona na uvutaji bangi, na utovu wa nidhamu uliosababisha kuvunja dirisha la shule..
Katika mahojiano hayo, Erick Kabendera amesema waalimu wa JPM walimueleza kwamba waliona JPM ana matatizo ya akili. Nenda huko YouTube utakuta mahojiano yao, mambo ya kuwela link sijayajua
View attachment 3191181
Mkuu,Hivi mahakama ya mafisadi ilifanya kazi??
Kabendera,ni Mrundi!🙃Msikilize Sheikh Ghassani akifanya mahojiano na Eric Kabendera kuhusu kitabu chake na mengi mengine.
View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx
Wendawazimu tu ndio waliona magufuli kama mtu wa maana. Wenye akili wote walijuwa kuwa magufuli ni takataka.
Hata Magufuli ni Mrundi, what's your point?Kabendera,ni Mrundi!🙃
"Magufuli is not Burundian"Hata Magufuli ni Mrundi, what's your point?