Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Yaaani Serikali imekosa kazi za msingi hadi wakashughulike na kitabu cha Kabendera?The government should take action against Kabendera so that he faces the consequences, serving as a lesson for those seeking attention
Naona sindano imegusa mfupa. Tupe ushahidi kuwa hakufukuzwa kutokana na kuvuta bangi.If Kabendera mental health will not assessed early, we will see much more from him that is even worse than this!
TISS ya bongo nayo unaiamini?Kama ni kweli tisi walikuwa wapi
Jamaa kawashika penyeweNaona sindano imegusa mfupa. Tupe ushahidi kuwa hakufukuzwa kutokana na kuvuta bangi.
Alifanya mazuri mengi yapi tofaut na watangulizi wake,...Kwanini Magufuli anasomeka katika dark side pekee tu ?
Je alikosea wapi hasa.
Binafsi kuna mambo nilijifunza kupitia yeye ikiwemo kutoa matokeo Kwa wakati na kuishi katika limitless world.
Biashara baadhi ziliyumba
Demokrasia ilikuwa chini
Matumizi mabaya ya madaraka
Kuongezeka Kwa majobless wengi n.k
Ila pia kuna mambo chanya mengi akifanya .
Ikiwa tutajadili ubaya , ubaya hii itakuja kuua Morales Kwa viongozi wengine watakaoamu kujitoa ili kuleta the true changes
Kuvuta bangi sio ishu. George Walker Bush alikuwa Rais wa Marekani na Wamarekani wote walikuwa wanajua alikuwa anavuta bangi!Kama ni kweli tisi walikuwa wapi
Wanaweseka tu humu. Mara Serikali ikifungie kitabu, mara ashtakiwe. Yaani wamechanganikiwa.Jamaa kawashika penyewe
WatulieWanaweseka tu humu. Mara Serikali ikifungie kitabu, mara ashtakiwe. Yaani wamechanganikiwa.
Muhaya kapiga kunako. Walinda ligasi hawana hamu. Pambafu!
Unaongelea ukorofi secondary zamani zile Fomu 1 anaitwa Nyoya, Ameoba huyu vipi yeye ndio bhangi kabisa,tunajua rastafariani wote wanavuta bhangi. Huyu si mole, mi najua anachezea oil atachafuka yeye mqenyewe afterall anayeshindana naye hayupo. Ata achieve nothing, zaidi anaitukana serkali iliyopo kwa kuwahusisha, hivyo anajitengenezwa adui wapya. Hazimo humoMsikilize Sheikh Ghassani akifanya mahojiano na Eric Kabendera kuhusu kitabu chake na mengi mengine.
View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=4QpdGYaV7b42UJjx
Naona hadi wasiopendwa leo wanatumika kuweka references, dunia ina majanga hii.
Huyo kabendera amechokonoa hayo ili kufidia madhira aliyofanyiwa, ila haiwezi kuondoa uongo/ukweli kwamba si John tu aliyewahi kuvuta bangi au kufukuzwa shule na bado akawa kiongozi.
Kuwa smart shule au mwema siyo kigezo cha kuwa kiongozi.
Uongozi ni karama.
Koo zote za Kisukuma zinajulikana.Kwani unawajua wasukuma wote wametoka koo gani?
Kwa nini?Sisi kama wasukuma asilia tumemtangazia Eric kaflagi FWATA popote alipo.....
Na itanfwata popote alipo hata ajifuje wapi ?
Kumbavu ndiyo nini wewe ngumbaru wakuja country bumpkin?Babaako anajulikana? KUMBAVU!!!
Regasi nakuwa nafutika kinomanomaWazee wa legasi wanatoa macho tu.