Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Hakuna aya yoyote kwenye vitabu vya Mungu iliyoagiza tumsamehe ShetaniTusamehe ila tuchukue funzo katika kila kitu katika maisha yetu.
Mi siamini...Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
Wapi nimesema tumsamehe shetani mkuu?Hakuna aya yoyote kwenye vitabu vya Mungu iliyoagiza tumsamehe Shetani
Uliposema tusamehe ulilenga tusamehe nani?Wapi nimesema tumsamehe shetani mkuu?