Na kama Shigongo kweli hamjui Manager wa Chamelione ni ajabu na aibu, staa kama yeye, wafanyakazi wake wana Udaku kibao, wanashindwa kumweleza Boss wao kuwa Manager wa Chamelione ni nani?!
afu wanajifanya wanajua orodha ya mafreemason tu kwasaana! hahaha! udaku bhana taaabu kweli kweli