Na kama Shigongo kweli hamjui Manager wa Chamelione ni ajabu na aibu, staa kama yeye, wafanyakazi wake wana Udaku kibao, wanashindwa kumweleza Boss wao kuwa Manager wa Chamelione ni nani?!
Mods naomba utoe neno TETESI, nimeshathibitisha kuwa kweli kawekwa kizuizini!
Shigongo lazima kesho aseme Kwa magazeti yake kuwa Chamelion ni Free Mason.
Niko gizani. Je kuwekwa kizuizini na kuwekwa ndani inamaanisha kitu kile kile?
Sweetlady nimekupa Like hapa mtandaoni,ungekuwa karibu nami ningekupa The big kiss!Yericko Nyerere mie huwa simuhurumii yeyote anayeshabikia hiki chama cha mabwepande......yaani hata kama ni ndugu yangu kweli sina huruma nae!
ni kizuizini au ndani?
Niko gizani. Je kuwekwa kizuizini na kuwekwa ndani inamaanisha kitu kile kile?
GAZETI LA IJUMAA-shigongo atapeliwa dola 3500 kampala
Taarifa zilizonifikia punde zinatanabaisha kuwa mmiliki wa magazeti ya udaku nchini Tz ndugu Erick Shigongo wawekwa kizuizini,
Haijafahamika nini tatizo hasa, ila nitawajuza punde tu nipatapo habari kamili!
Updates:
Kamnyanganya Chamelione passport,
Tatizo jamaa ana diplomacy passport!
Issue imeingiliwa na Museven mwenyewe! Bado anashikiliwa na
Anahojiwa na usalama.
Wanasema yuko interogation kwao!!
Wameanza convasation saa 7 zilizopita mpaka dakika hii!
Ipo video ingieni kwenye page ya fb ya "Walter Rumisha"
Shigongo kujiweka karibu na watawala kunampa kiburi sana.