Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,300
kwa kumteka jose chameleone,yaani amejchukulia sheria mkononi,inasemekana almtuma sharabaro flan ivi kampala kuingia mkataba na msanii uyo,uyo btoz akakutana na matozy zaid yake wakamdanganya kwamba wao ni wawakilish wa jose kwaiyo akawapa mpunga kama dola elfu 3 iv,da ntaendelea baadae
...........eti Shigongo kama Obama! mwe!....
Mods naomba utoe neno TETESI, nimeshathibitisha kuwa kweli kawekwa kizuizini!
Yuko rumande au kizuizini? Ni hapa Tanzania au kule Uganda?
Jamani kabla hujapost soma kwanza majibu ya watu wengine, mbona maswali yako yote majibu yake yameshatolewa.Yuko rumande au kizuizini? Ni hapa Tanzania au kule Uganda?
Sasa wewe rumande na kizuwizini tofauti yake nini? mimi naona yote sawa tu.
Jamani kabla hujapost soma kwanza majibu ya watu wengine, mbona maswali yako yote majibu yake yameshatolewa.
ni mwizi sana huyu jamaa..
vipi kwenye yale magazeti yake hawajatoa updates kuhusu boss wao?
hapo lazima atunge kitabu.....
hapa ndo mtasema tuwe na imani na vyombo vyetu kweli?huyu jamaa sasa anajiona naye ni godfader kibongo bongo,kuna jamaa yangu aliibiwa vifaa vya mamilioni kwenye hotel yake pale afrika sana na jamaa aliposhtaki polis arudishiwe mali zake,huyu shigongo aliibuka polis obay kuwatoa staff wake ambao mshkaji aliwahisi kumuibia,na ndugu yangu anasema kabisa kwamba shigongo alipofika kituoni obay alimfuata na kumwambia live kwamba nenda popote mali zako sirudishi na huwezi kufanya lolote,tena alitamba hivyo naskia mbele ya mapolis.picha ni kama vile shigongo anawatuma wale staff wapige sachi vyumba vya wageni pale na kuiba.tunakusanya data tumtie mikononi
Kunya anye kuku tu akinya Bata KAHARISHA!
Shida ni kwamba mtawala mwenyewe ni DHAIFU.Shigongo kujiweka karibu na watawala kunampa kiburi sana.