Erick Shigongo atiwa kizuizini


Sasa mtu anayelipwa dolla 200,000 kama ni kweli anaweza kufanya utapeli wa dolla 3,500 kweli?????

Shigongo akubali hiyo ni hasara katika biashara, azidishe 3,500$ * 1,600 = ???? ndiyo hasara yake arudi bongo ajifunze na aache ufa.la siku nyingine.
 
aisee..,bila shaka magazeti yake yata muonyesha jinsi alivyobebwa tanganyika jek kama hayana upendeleo,.
kWELI MKUU MANAKE THIS GUY BWANAHAS BEEEN MAKING HIS LIVING THROUGH HUMAN TRAGEDIES. HOPE HE TOO SHOULD ADD HIS OWN SCANDLE IN HIS SCANDALOUS ORIENTED VIGAZET.
 
aLIJUA LABDA ANADEAL NA WASANII WA BONGO ANAOWALIPA NA KUWADHARIRISHA KILA UCHAO KWENYE MAGAZETI YAKE. SIO WOTE NI WASANII WA KIWANGO CHA MABWEPANDE, CHEZEA CAMEREON WEWE!
 
Hivi yule bondia aliyegoma si lilikua tamasha hilihili? Ya Mungu mengi, anaanza kurudisha fedha alizozipata kwa dhuluma!
 
Haahaa hiii kali mkuu!

Lkn YN mbona hujawa too precise,,kawekwa kizuizini na nani,,serikali ya tz ama Basata? Na kosa lake hasa lililopelekea hayo ni lipi,,naona umemix mix mambo tu mara chameleone,passport,,diplomatic
 
Lkn YN mbona hujawa too precise,,kawekwa kizuizini na nani,,serikali ya tz ama Basata? Na kosa lake hasa lililopelekea hayo ni lipi,,naona umemix mix mambo tu mara chameleone,passport,,diplomatic

Alikamatwa na polisi wa tz kwa kushirikia na waambata wa TISS, na kuzuiliwa kwa siku nzima jana huku akihojiwa zaidi juu ya udharirishaji aliomfanyia Chamilion na kundi lake!
 
ilo ni fundisho kwa mapromoter uchwala wote....U cant mess with Leone Island President..]
 
Shigongo jembe,tatizo wabongo mna wivu sana.maaamazenu.
 
Hii ndio STREET UNIVERSITY anayoifundisha mwenyewe. kama vipi akamuulize Prof. Jay aliyeimba. ALIYENUNUA SAA KATOA HELA YA BANDIA NA ALIYETOA HELA KAPEWA SAA BANDIA.
 
ukiskia THE HUNTER HAS BECOME THE HUNTED, ndio hii.....
 
Da sijui atakuwa kesharudisha ile milioni mia tatu aliyotumia kwenye kampeni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…