ERIK TEN HAG kama ataondoka Man United basi itakuwa wameamua kumuondoa tu!

ERIK TEN HAG kama ataondoka Man United basi itakuwa wameamua kumuondoa tu!

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Bado mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama shida ni kocha, TEN HAG anaweza kuwa kuwa sehemu ndogo sana ya tatizo lililopo Old Trafford kwa sasa! David Moyes kapita hapo na alitoka Everton akiwa bora sana, Louis Van Gaal amepita hapo akiwa na Uholanzi tishio Duniani, Jose Mourinho ndio hakuna kitu cha kuongeza kisha Ole Gunnar na Ralf Rangnick

Hao Makocha wote walikuwa tatizo pale Man United? Sawa tukubali Ten Hag ni shida! Je wachezaji alionao unaona wana kitu cha ziada kwenda kushindana dhidi ya Man City, Arsenal na Liverpool kuwania Ubingwa wa EPL? Sawa tuache Ubingwa ni mbali sana! Je, Rashford, Garnacho, Zirkzee, Rasmus na wengineo kukosa nafasi za wazi mechi hadi mechi ni kosa la Ten Hag

Wachezaji wanalipwa pesa nyingi ila wengi hawapambani kwaajili ya jezi ya Man United, Wachezaji wanatembea uwanjani kama sio kufanya makosa wiki hadi wiki! Kabla ya kulaumu Benchi la Ufundi la Man United basi inapaswa wachezaji ndio iwe sehemu ya kwanza kisha falsafa ya Timu ambayo tunaishi kuanzia kuondoka kwa Sir Alex Ferguson! Sera ya Usajili mbovu, wachezaji wengi wanafeli na vijana kutoka academy wanaofanya vizuri wanauzwa kama sio kuondoka bure wenda Timu nyingine

Mkurugenzi wa Ufundi wa Man United, Dan Ashworth tayari hapo nyuma alishaeleza kuwa Timu inahitaji maboresho makubwa sana ndani ya uwanja, hapa akiwa na maana ya kuondoa baadhi ya wachezaji na kuleta wengine wapya ambao taratibu watairudisha Timu kwenye njia nzuri! Kumuondoa Ten Hag na kuja mtu mwingine ni kuanza upya tena kama hatuna falsafa nzuri ambayo tunaishi nayo kwa sasa

Man United inahitaji maboresho makubwa sana ya kikosi chake yaani wachezaji kabla ya kufika huko walipo kina Erik Ten Hag na wenzake! Timu inapaswa kuzalisha wachezaji wake kama ilivyokuwa utamaduni wao, ndio maana ni rahisi JOHN EVANS kupambana kwaajili ya jezi ya Man United kuliko hao wachezaji wengine ambao hawatambui historia na uchungu wa Old Trafford

Malengo ya Klabu ni KUCHUKUA UBINGWA WA EPL 2028 na ndio maana nasema kwa sasa ni mapema sana kuzungumza kuhusu Benchi la Ufundi, I Stand to be Corrected 💪

Itaendelea:..

Let's Goo!!.
 
TEN HAG case yake ni tofauti na coaches wengine yeye kapata privilege ya kupewa kila kitu. Kwa sasa ndio Coach pekee Ulaya aliyefanya kile anachotaka kataka wachezaji kapewa almost all players is familiar with them alishawafundisha huko nyuma hata bench la ufundi kaletewa Wa-dutch wenzake lakini bado Timu haifanyi vizuri.
Kama wachezaji uliowataka umepewa bench umepewa mnaongea Lugha inafanana na ni Kwa mahitaji yako wachezaji hao uliwahi kufanya nao kazi vizuri Leo nothing special so what do ni kuondolewa it's a big failure.
 
Wqchezaji wa MAN U ni vibiri ,Wajeuri

Hawataki kabsaa kuambiwa ukweli. Hii issue ilianza kwa CR7.
Interview aliyoifanya CR7 dhidi ya weaknesses za hii timu ilileta athari na picha mbaya sana kwa klabu hii.

Wachezaji wavivu,viburi,wajeuri nao wanajificha kwenye Interview ya mzee wa SIUUUUUUuuuuuuuu.
 
Tatizo huyu kipara anaenda mwaka wa 3 sasa hivi haijulikani ni aina gani ya mpira anataka kuisimika pale united, amesajiri almost wachezaji 10 lakini bado identity ya mpira anaotaka kucheza haijulikani.

Sawa wachezaji wabovu, hawafundishiki lakini je kocha ana direction gani?

Bila kuwa na falsafa ya kuishi nayo kama timu, united itaendelea kwenda kwa mwendo huu huu wa zimamoto.
 
Tatizo huyu kipara anaenda mwaka wa 3 sasa hivi haijulikani ni aina gani ya mpira anataka kuisimika pale united, amesajiri almost wachezaji 10 lakini bado identity ya mpira anaotaka kucheza haijulikani.

Sawa wachezaji wabovu, hawafundishiki lakini je kocha ana direction gani?

Bila kuwa na falsafa ya kuishi nayo kama timu, united itaendelea kwenda kwa mwendo huu huu wa zimamoto.
Falsafa bila wachezaji sahihi ni bure mzeya
 
Falsafa bila wachezaji sahihi ni bure mzeya
Bila wachezaji sahihi falsafa inaweza isilete matokeo chanya lakini angalao utaona kocha anataka kufanya nini?

Huyu kipara haijulikani kabisa anachotaka kukifanya uwanjani. Hauoni mbinu, hauoni channel flow, hauoni structure ya timu yaani ni mpira unapigwa tu mbele wakina antony na garnacho wanaanza kukimbia kimbia
 
Bado mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama shida ni kocha, TEN HAG anaweza kuwa kuwa sehemu ndogo sana ya tatizo lililopo Old Trafford kwa sasa! David Moyes kapita hapo na alitoka Everton akiwa bora sana, Louis Van Gaal amepita hapo akiwa na Uholanzi tishio Duniani, Jose Mourinho ndio hakuna kitu cha kuongeza kisha Ole Gunnar na Ralf Rangnick

Hao Makocha wote walikuwa tatizo pale Man United? Sawa tukubali Ten Hag ni shida! Je wachezaji alionao unaona wana kitu cha ziada kwenda kushindana dhidi ya Man City, Arsenal na Liverpool kuwania Ubingwa wa EPL? Sawa tuache Ubingwa ni mbali sana! Je, Rashford, Garnacho, Zirkzee, Rasmus na wengineo kukosa nafasi za wazi mechi hadi mechi ni kosa la Ten Hag

Wachezaji wanalipwa pesa nyingi ila wengi hawapambani kwaajili ya jezi ya Man United, Wachezaji wanatembea uwanjani kama sio kufanya makosa wiki hadi wiki! Kabla ya kulaumu Benchi la Ufundi la Man United basi inapaswa wachezaji ndio iwe sehemu ya kwanza kisha falsafa ya Timu ambayo tunaishi kuanzia kuondoka kwa Sir Alex Ferguson! Sera ya Usajili mbovu, wachezaji wengi wanafeli na vijana kutoka academy wanaofanya vizuri wanauzwa kama sio kuondoka bure wenda Timu nyingine

Mkurugenzi wa Ufundi wa Man United, Dan Ashworth tayari hapo nyuma alishaeleza kuwa Timu inahitaji maboresho makubwa sana ndani ya uwanja, hapa akiwa na maana ya kuondoa baadhi ya wachezaji na kuleta wengine wapya ambao taratibu watairudisha Timu kwenye njia nzuri! Kumuondoa Ten Hag na kuja mtu mwingine ni kuanza upya tena kama hatuna falsafa nzuri ambayo tunaishi nayo kwa sasa

Man United inahitaji maboresho makubwa sana ya kikosi chake yaani wachezaji kabla ya kufika huko walipo kina Erik Ten Hag na wenzake! Timu inapaswa kuzalisha wachezaji wake kama ilivyokuwa utamaduni wao, ndio maana ni rahisi JOHN EVANS kupambana kwaajili ya jezi ya Man United kuliko hao wachezaji wengine ambao hawatambui historia na uchungu wa Old Trafford

Malengo ya Klabu ni KUCHUKUA UBINGWA WA EPL 2028 na ndio maana nasema kwa sasa ni mapema sana kuzungumza kuhusu Benchi la Ufundi, I Stand to be Corrected 💪

Itaendelea:..

Let's Goo!!.
Nakubaliana kuwa Tena Hag ni kocha mzuri no doubt.
 
Bado mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama shida ni kocha, TEN HAG anaweza kuwa kuwa sehemu ndogo sana ya tatizo lililopo Old Trafford kwa sasa! David Moyes kapita hapo na alitoka Everton akiwa bora sana, Louis Van Gaal amepita hapo akiwa na Uholanzi tishio Duniani, Jose Mourinho ndio hakuna kitu cha kuongeza kisha Ole Gunnar na Ralf Rangnick

Hao Makocha wote walikuwa tatizo pale Man United? Sawa tukubali Ten Hag ni shida! Je wachezaji alionao unaona wana kitu cha ziada kwenda kushindana dhidi ya Man City, Arsenal na Liverpool kuwania Ubingwa wa EPL? Sawa tuache Ubingwa ni mbali sana! Je, Rashford, Garnacho, Zirkzee, Rasmus na wengineo kukosa nafasi za wazi mechi hadi mechi ni kosa la Ten Hag

Wachezaji wanalipwa pesa nyingi ila wengi hawapambani kwaajili ya jezi ya Man United, Wachezaji wanatembea uwanjani kama sio kufanya makosa wiki hadi wiki! Kabla ya kulaumu Benchi la Ufundi la Man United basi inapaswa wachezaji ndio iwe sehemu ya kwanza kisha falsafa ya Timu ambayo tunaishi kuanzia kuondoka kwa Sir Alex Ferguson! Sera ya Usajili mbovu, wachezaji wengi wanafeli na vijana kutoka academy wanaofanya vizuri wanauzwa kama sio kuondoka bure wenda Timu nyingine

Mkurugenzi wa Ufundi wa Man United, Dan Ashworth tayari hapo nyuma alishaeleza kuwa Timu inahitaji maboresho makubwa sana ndani ya uwanja, hapa akiwa na maana ya kuondoa baadhi ya wachezaji na kuleta wengine wapya ambao taratibu watairudisha Timu kwenye njia nzuri! Kumuondoa Ten Hag na kuja mtu mwingine ni kuanza upya tena kama hatuna falsafa nzuri ambayo tunaishi nayo kwa sasa

Man United inahitaji maboresho makubwa sana ya kikosi chake yaani wachezaji kabla ya kufika huko walipo kina Erik Ten Hag na wenzake! Timu inapaswa kuzalisha wachezaji wake kama ilivyokuwa utamaduni wao, ndio maana ni rahisi JOHN EVANS kupambana kwaajili ya jezi ya Man United kuliko hao wachezaji wengine ambao hawatambui historia na uchungu wa Old Trafford

Malengo ya Klabu ni KUCHUKUA UBINGWA WA EPL 2028 na ndio maana nasema kwa sasa ni mapema sana kuzungumza kuhusu Benchi la Ufundi, I Stand to be Corrected 💪

Itaendelea:..

Let's Goo!!.
Hamna kocha mle.
 
Mimi nilifikiri Coach anaonewa ila tujiulize kwa wale walio bahatika kuiona ManU kipindi hiki Cha Bwana Kipara
Je! Mpaka Sasa ManU ni bora/ imeboreshwa katika eneo Gani katika timu? maana Diffensi ni hovyo, kiungo ni hovyo, uko mbele ndio kabisa hamna kitu.
Anastahili kuondoka kwakua amepewa Kila kitu lakini kwa miaka karibu mi tatu hakuna eneo lililo imarika.
 
Back
Top Bottom