Eritrea: Timu nzima yazamia baada ya mashindano

Eritrea: Timu nzima yazamia baada ya mashindano

ha haa, hawa kweli wajinga, kenya nayo ni nchi ya kuzamia? kweli kwa ubora upi wa maisha walio nao wakenya?

Waulize akina Chief Kiumbe, Matonya, Qchhilla, mr.Blue mbona hawatoki Kenya? labda watakupa jibu uelewe, Dar padogo eti
 
Waulize akina Chief Kiumbe, Matonya, Qchhilla, mr.Blue mbona hawatoki Kenya? labda watakupa jibu uelewe, Dar padogo eti
A well thought fact .....Tanzanian's should understand na wakubali kuwa Kenya is the big brother in the region.......Nyerere Kawaambia kitambo....ukitaka kuona majumba marefu yaliotengenezwa na vyoo....usiende marekani....Vuka Kenya.Maaajabu
 
A well thought fact .....Tanzanian's should understand na wakubali kuwa Kenya is the big brother in the region.......Nyerere Kawaambia kitambo....ukitaka kuona majumba marefu yaliotengenezwa na vyoo....usiende marekani....Vuka Kenya.Maaajabu

Wewe ume stuck na past..sasa majumba marefu yenye vioo ndio maendeleo?
Mbona yapo kila mahali siku hizi!!
 
Hivi wangetwaa kombe wangelipeleka wapi?

hahahahahahaha.....Malila nimecheka sana....wangeliacha uwanjani...kuna kipindi vijana wa timu ya Pazi ya Dar walitinga US baadhi walibaki hadi leo hawajarudi bongo.
 
Back
Top Bottom