BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Katika interview aliyofanyiwa na channel ya Sam Misago kwenye Youtube amekubali kuwa huwa anaenda kwa waganga wa kienyeji.
Anasema ''mimi ni mfanyabiashara, kwenda kwa mganga lazima. Kuna wakati unakuta hirizi mlangoni, lazima nawewe uende kwa mganga''
Kipindi cha nyuma Babu Tale alikubali pia kuwa huwa anaenda kwa waganga wa kienyeji alipokuwa akihojiwa Clouds FM.
Anasema ''mimi ni mfanyabiashara, kwenda kwa mganga lazima. Kuna wakati unakuta hirizi mlangoni, lazima nawewe uende kwa mganga''
Kipindi cha nyuma Babu Tale alikubali pia kuwa huwa anaenda kwa waganga wa kienyeji alipokuwa akihojiwa Clouds FM.