Esperance De Tunis yakataa kurudisha kikombe na medali CAF

Esperance De Tunis yakataa kurudisha kikombe na medali CAF

Habari wanamichezo

Taarifa zilizopo club ya esperance de Tunis ya nchini Tunisia Imekataa kurudisha kikombe cha CAF champion league iliyokipata baada ya ushindi wa goli 1 dhidi ya wydad Casablanca na mechi kuvunjika dk ya 60
Esperance imesema itapeleka CAF mahakama ya Michezo cas kupata haki yao


Mchezo urudiwe hamna namna. Wydad wamedhulumiwa mechi zote mbili.
 
Jitathmini upya kabla hujakurupuka kuandika usichokijua. Waarabu hatuwafikii hata robo kwenye soka n.k, kama ni wafitini basi mamelody angeshinda kwao dhidi ya Esperance, na kama wafitini Tp Mazembe angeshinda kwao dhidi ya wydad casablanca. Sema hivi akili zetu waafrika tunazijuwa wenyewe,,,kwa ufupi waarabu wametuzidi kila kitu, wanasajili wachezaji kwa mabilioni ya pesa wakati wewe na yanga yako mnasajili kwa milioni 10-50. Vichekesho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Warudiane tu hakuna namna kwani ujinga ukiofanyika ulikuwa gizani hadi uone nimekurupuka.
 
Back
Top Bottom