How sure ur mkuu.Wewe ndiyo hauelewi kua Uzi huu umelenga kuzungumzia njia za kusafirisha taarifa na sio suala ya lugha za maneno au ishara.
Iyo inajilikana, kama CIA walivyo m-recruit dakatari aliyekua karibu na Osama
Sijakuelewa mkuuHow sure ur mkuu.
Sijakuelewa mkuuKweli huku JI
About ciaSijakuelewa mkuu
Kabla kumuua Osama bin laden, walim-recruit aliyekua daktari wake maana alikua karibu na Osama ivyo aliweza wapatia taarifa za umuhimuAbout cia
How sure ur mrKabla kumuua Osama bin laden, walim-recruit aliyekua daktari wake maana alikua karibu na Osama ivyo aliweza wapatia taarifa za umuhimu
Vyombo vya habari mkuu, ie magazeti, televisions, documentaries nkHow sure ur mr
Wengine hutumika hadi kwenye malipo bira kujua. Mfano, double agent anapotaka kulipwa na serikali ya nchi nyingine, baada ya kufanikisha dili la kijasusi, badala ya kumlipa fedha taslimu, taifa hasimu linaweza tumia vitu kama mkufu au pete ya dhahabu, ambayo inamalipo sawa na kiasi ambacho yule mtu anglipwa kwa fedha taslimu. Lengo ni kuficha traces za financial transactions.kuna uwezekano kabisa ya kuwa idadi kubwa sana ya watu huwa wanajihusisha na shughuli za kijasusi katika vipindi tofauti tofauti vya maisha yao kwa kutumiwa pasipo wao wenyewe kujijua. mfano mzuri ni pale mtu mzima ndugu yako ama mtu wa kawaida anapokutuma "nipelekee viatu hivi buguruni kwa yule fundi wangu hawa wa hapa mtaani hawajui kushona" na wewe pasipo kujua unabeba tu huo mzigo wa viatu na moja kwa moja unaupeleka mpaka buguruni kama ulivyoelekezwa pasipo kujua ndani ya vile viatu kuna vitu gani vimevichwa na kuna uhusiano gani kati ya huyo fundi viatu na ndugu yako. huo ni mmoja tu kati ya mifano mingi ya namna sisi wenyewe tunavyoweza kuwa nyenzo bora kabisa za kufanikisha ujasusi.
too smartWengine hutumika hadi kwenye malipo bira kujua. Mfano, double agent anapotaka kulipwa na serikali ya nchi nyingine, baada ya kufanikisha dili la kijasusi, badala ya kumlipa fedha taslimu, taifa hasimu linaweza tumia vitu kama mkufu au pete ya dhahabu, ambayo inamalipo sawa na kiasi ambacho yule mtu anglipwa kwa fedha taslimu. Lengo ni kuficha traces za financial transactions.
Sasa hapo ndo unaambiwa peleka mkufu au pete kwa sonara, kumbe uyo mtu ndo double agent mwenyewe ambaye anapokea malipo. Au yeye anakaa nao alfu muhusika , anayestaili kupokea malipo akifika anapewa kisha yeye anaenda kuuza ure mkufu na kupata kiwango kile kile cha pesa. Akiulizwa katoa wapi fedha, kama akiweka kwenye akaunti yake, atasema nilipata kutokana na kuuza zawadi ya mkufu niliopewa na rafiki yangu / ndugu toka nchi flani.
Kwaiyo naungana na wewe kua, unaweza kuta, uyo sonara aliyetunza mkufu na yule aliyetumwa kupeleka mkufu kwake, hawajui kinachoendelea ingawa wameshiriki katika kufanikisha zoezi ili
Hahaha mkuu, espionage bira akili, ni sawa na sufuritoo smart
swali dogo tu la kizushi. huyo rafiki yako mmefahamiana lini na kwa namna gani.Wengine hutumika hadi kwenye malipo bira kujua. Mfano, double agent anapotaka kulipwa na serikali ya nchi nyingine, baada ya kufanikisha dili la kijasusi, badala ya kumlipa fedha taslimu, taifa hasimu linaweza tumia vitu kama mkufu au pete ya dhahabu, ambayo inamalipo sawa na kiasi ambacho yule mtu anglipwa kwa fedha taslimu. Lengo ni kuficha traces za financial transactions.
Sasa hapo ndo unaambiwa peleka mkufu au pete kwa sonara, kumbe uyo mtu ndo double agent mwenyewe ambaye anapokea malipo. Au yeye anakaa nao alfu muhusika , anayestaili kupokea malipo akifika anapewa kisha yeye anaenda kuuza ure mkufu na kupata kiwango kile kile cha pesa. Akiulizwa katoa wapi fedha, kama akiweka kwenye akaunti yake, atasema nilipata kutokana na kuuza zawadi ya mkufu niliopewa na rafiki yangu / ndugu toka nchi flani.
Kwaiyo naungana na wewe kua, unaweza kuta, uyo sonara aliyetunza mkufu na yule aliyetumwa kupeleka mkufu kwake, hawajui kinachoendelea ingawa wameshiriki katika kufanikisha zoezi ili
Karne ya 21 hii. Maendeleo ya technology na kukua kwa kasi ya mawasiliano kupitia Facebook, WhatsApp, instagram, twitter nk watu wanaweza wakasiliana na ku-cross borders na mpaka kufikia hatua ya kuonana/kuoana nk ( watu huweza aminiana na mpaka kufikia hatua ya kepeana siri na kua recruited kama double agent )swali dogo tu la kizushi. huyo rafiki yako mmefahamiana lini na kwa namna gani.
Wrong answer...Karne ya 21 hii. Maendeleo ya technology na kukua kwa kasi ya mawasiliano kupitia Facebook, WhatsApp, instagram, twitter nk watu wanaweza wakasiliana na ku-cross borders na mpaka kufikia hatua ya kuonana/kuoana nk ( watu huweza aminiana na mpaka kufikia hatua ya kepeana siri na kua recruited kama double agent )
Fikiria mazingira ambayo mtu kwenda vacation / likizo nje ya nchi. Anaweza kutana na rafiki ambaye ni spy wa taifa husika na kua recruited kama double baada ya mda flani wa mawasiliano na kuaminiana
It's not mandatory for the two of us, to see the situation eye to eyeWrong answer...
So jibu sahihi ni lipi? embu tupe ufafanuzi mkuu..napenda sana kufahamu aya maboWrong answer...
kabla agent hajawa recruited agency inafanya vetting hapo itafahamu kila kitu kuhusiana na mwajiriwa wake mpya ikiwa pia kama ana ndugu au marafiki nje ya nchi. mawasiliano yake yote baada ya hapo huwa monitored; ikijumuisha na safari zake ndani na nje ya nchi. sasa sijui ni kwa namna gani utaweza kuestablish mawasiliano na watu wengine bila wao kujua. huoni kwamba jibu hilo litazua maswali mengine mengi zaidi na mhusika atazidi kujitia hatiani?So jibu sahihi ni lipi? embu tupe ufafanuzi mkuu..napenda sana kufahamu aya mabo
Kwa maana hiyo ukiwa agent hupaswi kua na marafiki wapya? ama yeyote ambae ata taka kua rafiki yako ina bidi agency ifanye hyo vetting ili uweze kuendelea na urafiki na hao wapya?kabla agent hajawa recruited agency inafanya vetting hapo itafahamu kila kitu kuhusiana na mwajiriwa wake mpya ikiwa pia kama ana ndugu au marafiki nje ya nchi. mawasiliano yake yote baada ya hapo huwa monitored; ikijumuisha na safari zake ndani na nje ya nchi. sasa sijui ni kwa namna gani utaweza kuestablish mawasiliano na watu wengine bila wao kujua. huoni kwamba jibu hilo litazua maswali mengine mengi zaidi na mhusika atazidi kujitia hatiani?