Espionage; How agents transmit findings


kwa hiyo unataka kutudanganya pentagon ndio makao makuu za CIA??

na Langley ni wapi??
Anachomaanisha ni kuwa images zote lazima zipitie kwanza pentagoni and that's correct mwaka Fulani dereva Wa gari la maji Wa ubalozi Wa marekani alipitisha gari nyumbani kwake na ikaonekana watu wanachita maji hii iliwatia hofu sana huko pentagon na wajapiga sm ubalozi kuw iyo gari isiingie ubalozin kwa tafsiri yao ilikuwa inategwa bom so ni kweli images na video zinapita pentagon kwanza
 

unatetea kitu kwa mfano ambao ni irrelevant .... wanaolinda ubalozi wa marekani sehemu nyingi duniani ni MARINE SECURITY GUARD ambao ni branch ya UNITED STATES MARINE CORPS... ambayo ni part of UNITED STATES DEPARTMENT OF DEFENSE ambayo makao makuu yake ni PENTAGON... na wewe unataka kutudanganya wanaolinda ubalozi wa marekani ni CIA sio CIA

CIA wako pale kwa kazi moja tu ambayo ndio kazi yao kuu hata ukienda wikipedia ku isoma imeandikwa nayo ni kwa msaaada wa wikipedia AND I QUOTE The Central Intelligence Agency (CIA) is a civilian foreign intelligence service of the U.S. Government, tasked with gathering, processing and analyzing national security information from around the world
 
 
Unadhani ilo tukio lilikua linaashiria nini?
 
really? and how is that possible. some more elaboration please.
Maybe a hint or clue about something or someone else that is linked to you. That could have been useful to them, once assembled in and fixed in a big puzzle.

NB
When it comes to intelligence agencies and investigations," no detail is too small"
 
Maybe a hint or clue about something or someone else that is linked to you. That could have been useful to them, once assembled in and fixed in a big puzzle.

NB
When it comes to intelligence agencies and investigations," no detail is too small"
that's amazing piece of writing. man, did you know that to smoke out an intelligence operative, one must compel him to do things they are always forbidden to do?
 
dunia ina mambo ila raha ya ujasusi unafahamu mengi kweli jf kuna kila taste,natamani mtiririko zaidi nadhani wakuu mtamimina zaidi hapa jf intelligence
 
Maybe a hint or clue about something or someone else that is linked to you. That could have been useful to them, once assembled in and fixed in a big puzzle.

NB
When it comes to intelligence agencies and investigations," no detail is too small"
mkuu, naskia idara za usalama za ufaransa zilikataa kuruhusu engineers kutoka kampuni ya daimler benz kukagua mabaki ya gari aina ya Mercedes-Benz S280 iliyomuua diana na hawara yake ili kuangalia kulikuwa na mapungufu gani kwenye brake systems za gari hiyo. hii issue imekaa vp kaka mkubwa??????
 
Kwa kweli sifahamu lolote kuhusu ili. Naomb nilifanyie kazi mkuu
 
Like what things?
mkuu, kwa mfano wewe ni officer wa idara ya ujasusi ya mossad na umetumwa kwenda Angola kufuatilia mienendo yote ya mkurugenzi mmoja wa wizara ya nishati ya Israel (anaenda wapi, anakutana na nani na wanaongea nini) inayepanga kwenda huko miezi mitatu ijayo kufuatilia mikataba ya uchimbaji wa mafuta, ili isijetokea huyo director anaenda Angola kukutana na mawakala wa Iran na kubadilishana nao nyaraka za siri sana za dola ya wayahudi. Sasa moja kati ya maagizo uliyopewa na wakuu wako wa kazi na kwamba usilale (don't have sex) with any Angolan woman mpaka utakaporudi Tel aviv baada ya mission hiyo kukamilika.
sasa katika kukupima kama wewe ni foreign operative ama la, hao vijana wa kazi wa huko Angola watajaribu kukutumia wanawake warembo wa hapo hotelini ulipofikia ama utakapokuwa unatembea mitaani ili kuona kama utaenda kinyume na orders ulizopewa na wakuu wako wa kazi ama la.
HAPO UMENIELEWA SASA???
 
ukivuka hivyo vishawishi mara mbili mara tatu

hao wanaokufuatilia wanasitisha au ni zoezi endelevu? hata utakapo kuwa kwingineko?

ila kama ni mkuu wa idara kwa makeke uliyo nayo huwezi shindwa kung'amua kuwa hao warembo wapo hapo kwa shughuli maalumu...
 
hapo nilikuwa ninafafanua hiki nilichomuuliza mkuu Panzermeyer hapo juu
Weltmeisterschaftung said:
man, did you know that to smoke out an intelligence operative, one must compel him to do things they are always forbidden to do?
 
Mkuu hivi huu Uzi una neno TISS kweli? ivi unadhani mambo ya intelligence ni kwa ajili ya Umma tu? Hujui kuna private people wana ajiri Mashushu kwa ajili ya kukusanyiwa taarifa zao either za kampuni au taasisi kwanini unahisi tunawaanika TISS kwanza hatuijui wala hatujui mfumo wake huu uzi umechambua general method not tiss method
 
Ni Drone mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…