Espionage; How agents transmit findings

na ile ya kujifanya vichaa ni ya kweli?
Nilisoma kitabu fulani nikagundua hiyo kitu ni ya kweli,kichaa ni vigumun kumshitukia ,na pia sijui kama unajua jalala la nyumba fulani au taka zimebeba taarifa za nyumba husika.Kwa mfano kama jalala lenu lina vipisi vya sigara(wanaoisi wanavuta sigara),chupa za pombe za kopo, ni walevi na ainaya pombe wanayotumia itajulikana),jalala linaelezea uwezo wa kifedha wa familia husika.
Ni muhimu kwa spy kuwa mbunifu,kwani ukitumia hizi njia ambazo wote mnafundishwa kukamatwa ni rahisi.Ni kama Ninja hacking,technique inatumia mara moja tu.
 
kwa kuongezea tu yeye kama ni mpenzi wa muvi akacheki muvi yaitwa elysium kuna jamaa kacheza kama kichaa ila vifaa vya mawasiliano alivyo kuwa navyo ni hatari.
 
asante kwa kunielimisha mkuu!!!!!!!!!
 
Ongezea mkuu
wakuu wa kazi, taaluma ya ujasusi ni taaluma ya watu wenye mashaka sana (profession of skeptics) ujasiri na umakini wa hali ya juu sana. spy hapaswi kuamini kiumbe hai chochote kwa 100% hususani binadamu. kwa kuzingatia weledi wa kazi yake, spy anapaswa kujiuliza lolote linalotokea mchoni pake ama kwenye masikio yake kuwa ina athari gani katika usalama wa nchi, hivyo watu wa namna hii wanapaswa kuwa makini kwa zaidi ya 2000%..........
 
alafu ya kiaskari, hii taaluma inahitaji vijana ambao ni sharp-minded, agile and too swift kwa kiasi kwanza vijana wanakuwa wabunifu wa mbinu mbalimbali za kuweza kufanikisha kazi zao na si lazima kukazania kile walichofundishwa na chuoni kwao, ili mradi hawakiuki kanuni na misingi ya majukumu yao. nakumbuka kwa mfano mossad, huwa hawaruhusu assassination method moja, kutumika katika mission zingine zote zitakazofuata ili kuepuka kwa agents kukamatwa kwa maana kwa kila tukio la kihalifu katika hostile country, vyombo vya usalama hufanya assessment ya kuangali wapi kulinkuwa na loopholes zilizowezesha mission ya maadui kukamilika.
yangu hayo tu kwa leo.
 
mossad wapo vizuri katika mfumo wa @espionage,wakati wa tukio la kigaidi sept. 11,2001 waisrael waliokua ndani ya @WTC walipewa taarifa ya kuondoka mapema kabla ya tukio,hapo inadhihirisha kiasi wametapakaa dunia nzima
 

Mkuu unayosema Ni kweli kabisa.Lakini ndugu zetu wazalendo Ni vizuri kujua sisi wananchi tunajua nini ili waweze kuunda mipango mipya ya kulinda hadhi ya taasisi Na Kwa usalama wa nchi kwa ujumla.Leo Hii ukiingia YouTube unaona kila kitu kuhusu ujasusi uliobobea.
Kwa Mfano hackers wanaingia kwenye mitandao ya majeshi,makampuni Na mabenki Kwa hiyo hizo taasisi zinajihami kila kukicha.
Vile vile kuna taasisi zinaomba mahackers wawajaribu.
Kwa maoni yangu tuuelimishane Na kuwaelimisha Ndugu zetu wazalendo ili wawe wakali zaidi.
 
mkuu, asante sana, na bila shaka wahusika wenyewe watakuwa wamekuelewa vizuri mno
 
wakuu de'levis Yericko Nyerere na Freelancer and the rest, kwa namna dola la kiislam la Iran lilivyo fully alert kiusalama kwa kujua fika ya kwamba nchi za ulaya na marekani zinataka kuisambaratisha kama walivyoitafuna na kuichanachana taifa la Iraq ya Saddam Hussein, mnafikiri ni umakini mkubwa kiasi gani "intelligence officers" wa mossad, cia, MI6 na idara zingine za kijasusi za kimagharibi zinatumia kukusanya taarifa ndani ya Iran via human means (achilia mbali satellite surveillance)? ama tuseme the west no longer run human spy rings in persian soil???!!!!!!!!!!
 
Mambo yote juu ya ujasusi yamo katika kitabu changu kiitwacho ujasusi wa kidola na kiuchumi...

Kipakue hapa mkuu.

Amazon product ASIN B01GPXFDB6
 
Pia, nasikia pana njia ya kuhama makazi kutoka mji mmoja hadi mwingine huku taarifa zikichukuliwa wakati wanafanya mishe mishe za kuhama mji au nyumba .

Yaani, aliyefata taarifa anakuwa ndiye anayehamisha vyombo au mzigo kwa kuelekezwa na mtoa taarifa . kwa hiyo muda huo unatumika kuchukua taarifa wakati wako katika mizunguko hiyo ya kuhama aidha nyumba, chumba au mji.na kwenda kwengine kuliko andaliwa.

Japo, hii ni rahisi sana kufanikiwa kwa sababu ya tamaduni zetu waafrika kusaidiana wakati wa tukio kama hilo la kuhama.

Pia, ili kuwachanganya watu zaidi,.wanabeba vitu vyote wakivipeleka mahala palipoandaliwa kisha wanavirudisha kwa kutoa kisingizio kuwa nyumba au chumba ni kidogo au siyo pazuri ili katika hizo purukushani Yale.mabadilisho ya taarifa yaweza kufana na kutotiliwa shaka.

Au hata hao wawili kubadilishana nyumba ama vyumba, huwa nayo ni njia moja wapo na rahisi sana tena haina utiliwaji mashaka na.mtu au vyombo vya usalama vya sehemu au nchi husika!

Nyingine zipo nyingi, nazi-upload kutoka moyoni kuja hapa JF nitaendelea.....
 
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.

Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…