Espionage; How agents transmit findings

Espionage; How agents transmit findings

Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.

Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
wewe dada muongo. kuna issues nyingi sana umeruka kwenye hilo andiko lako
 
wewe dada muongo. kuna issues nyingi sana umeruka kwenye hilo andiko lako

Mkuu, Edmundo

Nahisi au naamini, utakuwa unakosea sana unaposema kuwa ameruka na amekosea wakati uo huo , hujatoa hata mbinu au njia mojawapo.

Acha upoyoyo ukiona hivyo, unampa " like" kama nilivyofanya Mimi kisha kama una jambo la kuongeza unafanya hivyo.

Mkuu, Edmundo plz, Next time try to be a great thinker and smart.

Keep it up, my darling "Girl Next door", you wrote a rich piece of information!
 
kuna kitu wengi tumepotea hapa ila ukikaa ukatafakari ndio utaelewa.

Kuna maeneo ukiingia huruhusiwi kutoka na chochote na hata huruhusiwi kuingia na chochote kwa mazingira kama hayo
baadhi ya njia hapo juu zinatumika ili kuweza kutoa taarifa kutoka kwenye taasisi hiyo kwenda nje ya taasisi.

pili kuna wakati mtoa taarifa ndani ya taasisi yupo huru kupata na kutoka na taarifa lakini yupo under cosntant surveillance anaenda wapi anakutana na nani, kwa malengo gani etc, baadhi ya njia hapo zinatumika ili mtoa taarifa kufikisha kwa mpokea taarifa.

kuna mazingira mengine ni usafirishaji kutoka sehemu moja hadi ingine etc
 
kuna kitu wengi tumepotea hapa ila ukikaa ukatafakari ndio utaelewa.

Kuna maeneo ukiingia huruhusiwi kutoka na chochote na hata huruhusiwi kuingia na chochote kwa mazingira kama hayo
baadhi ya njia hapo juu zinatumika ili kuweza kutoa taarifa kutoka kwenye taasisi hiyo kwenda nje ya taasisi.

pili kuna wakati mtoa taarifa ndani ya taasisi yupo huru kupata na kutoka na taarifa lakini yupo under cosntant surveillance anaenda wapi anakutana na nani, kwa malengo gani etc, baadhi ya njia hapo zinatumika ili mtoa taarifa kufikisha kwa mpokea taarifa.

kuna mazingira mengine ni usafirishaji kutoka sehemu moja hadi ingine etc


Good.


Mfano, hiyo ya kuzuia mtu kutoingia na kutotoka na chochote hapo sasa ndipo smart and genius guys wanapofanya kazi yao.

Yeye, anafika kwa hilo eneo anaangalia tu, ila anatoka taarifa ambazo hata wenye hiyo ofisi hawajawahi kuona au kudhania kuwa mtu anaweza akazichukua hizo taarifa au details atakazo ziona katika ofisi au eneo husika.
 
Ile Mi CIA ya marekani ile miwani yao myeusi wanayovaa ina kila kila kitu inarecord na inarusha video Pentagon muda huohuo.
Sio CIA tu nchi nyingi wanazo hata za africa ila zinakuwa kwa siri na zinatumika kutokana na uzito wa shighuli inayofanyika ,na eneo husika kama kuna taarifa za kujitosheleza kama kuna usalam
 
Nilisoma kitabu fulani nikagundua hiyo kitu ni ya kweli,kichaa ni vigumun kumshitukia ,na pia sijui kama unajua jalala la nyumba fulani au taka zimebeba taarifa za nyumba husika.Kwa mfano kama jalala lenu lina vipisi vya sigara(wanaoisi wanavuta sigara),chupa za pombe za kopo, ni walevi na ainaya pombe wanayotumia itajulikana),jalala linaelezea uwezo wa kifedha wa familia husika.
Ni muhimu kwa spy kuwa mbunifu,kwani ukitumia hizi njia ambazo wote mnafundishwa kukamatwa ni rahisi.Ni kama Ninja hacking,technique inatumia mara moja tu.
...mkuu vipi hii ya kuangalia kamba ya nguo ya zilizoanikwa ,hapo utajua km nyumba ina watoto kwa kutazama aina ya nguo,au mwanamke au mwanaume,aina ya mavazi ni kweli hii nayo ipo ?
 
...mkuu vipi hii ya kuangalia kamba ya nguo ya zilizoanikwa ,hapo utajua km nyumba ina watoto kwa kutazama aina ya nguo,au mwanamke au mwanaume,aina ya mavazi ni kweli hii nayo ipo ?

Hiyo hasa ukitafuta mtu aliyetoroka au kujua watu wangapi wanaishi hapo, jinsi /jinsia zao hata umri, kipato chao mambo mengi Kama hayo.

Japo, hii mara nyingi ni kama unatafuta mtu, ujue anaishi wapi.

Mfano, mtu anahisiwa vibaya kisha akaenda akapotolea mahala sasa utakuwa unamtafuta mahala alipotelea Kwa kuangalia nguo zake.

Any way, this point about clothes it has hundreds and hundreds of ideas though, it sound crazy when you read, hear or see it from a normal perspective.
 
...mkuu vipi hii ya kuangalia kamba ya nguo ya zilizoanikwa ,hapo utajua km nyumba ina watoto kwa kutazama aina ya nguo,au mwanamke au mwanaume,aina ya mavazi ni kweli hii nayo ipo ?
Mkuu mbona hili liko wazi,ladba kama nguo zote si za pale mtu huyo anafanya kazi ya udobi.Kuna information ambazo ziko wazi kwa kila mtu ila only trained people watajua hapa tunapata information fulani wakati kwa mwingine yeye hata hana habari na nguo zako au uchafu ulioko kwenye jalala lako.
Kwa kifupi tu just ba a good citizen,hakuna kitu utafanya tena ukitumia technologia ndiyo mambo yanakuwa rahisi,unamiliki simu,unaingia kwenye internet kama hapa,e-mail yako ya social sites ndiyo hiyo hiyo ya kuombea kazi na mawasiliano na ndugu na jamaa.In anutshel you are being watched,huwezi kukwepa serikali kukupata sana sana kama ni mjanja utawachelewesha tu lakini kuna siku utakamatwa.
Watalaam wanasema moja ya sababu ya Osama kuchelewa kukamatwa ni kwa sababu anajua jinsi wanavyofanya kazi na alijitenga na technologia akarudi kutumia njia za kizamani.
Lakini kwa waliompokea Yesu hawana cha kuhofia,kwani technologia ya Mbinguni iko juu kuliko ya wanadamu.Kuna mambo wakati dunia inahofu sisi tushajua nini kitatokea kwa hiyo tunakuwa hatuna hofu na tunaendelea kutenda kazi yake yeye aliyetuleta hapa kwa lengoi maalum.
 
Mkuu, umenikumbusha kile kijidude ambacho huwa wana kirusha hewani kama kijidege kidogo dogo dogo basi kinakuwa eneo la tukio kina randa randa kuu mpaka mwisho Wa event.

Wanatuzuga kuwa kinatumika kurusha live stream videos na Kupiga "aerial photographs" kwa kiwango cha hali ya kuu kumbe kina Fanya take mdogo mdogo.

Kina mahala nshakumbana nacho (hasa kwenye ugeni mkuu) .asante kwa dondoo.


Siku hizi wanatumia drons ku-access mobile communications,

Drons hizi zinapopaa angani zinatengeneza minara ya simu feki, na kukusanya taarifa za watumia wa simu za mikononi waliopo ardhini, mfano mzuri katika mikutano ya vyama Vya siasa pale jangwani.

Kifaa hiki kinatengenezwa USA, na bei yake ni USD 145,000.
 
Kufanya kosa , kwa makusudi ambalo lazima uende jela kwa muda maalum ili upate taarifa na ukiisha zipata basi unakuwa uko huru maana ulitenda kosa kulingana na muda ili kupata unachokihitaji.
 
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.

Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
girl,naona upo addicted sana na hizi mambo za espionage & intelligence
 
Ñayajua yote ila zpo nyingi sana mfano kama mpo wawali au tatu sehemu wanaweza wasiliana kwa kushika kidevu kuna maana yake,kushika utosi ,au sikio lkn ni elimu maalumu
 
Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.

Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
Sio Tanzania
 
...mkuu vipi hii ya kuangalia kamba ya nguo ya zilizoanikwa ,hapo utajua km nyumba ina watoto kwa kutazama aina ya nguo,au mwanamke au mwanaume,aina ya mavazi ni kweli hii nayo ipo ?
How to collect infor
 
Back
Top Bottom