Nilisoma kitabu fulani nikagundua hiyo kitu ni ya kweli,kichaa ni vigumun kumshitukia ,na pia sijui kama unajua jalala la nyumba fulani au taka zimebeba taarifa za nyumba husika.Kwa mfano kama jalala lenu lina vipisi vya sigara(wanaoisi wanavuta sigara),chupa za pombe za kopo, ni walevi na ainaya pombe wanayotumia itajulikana),jalala linaelezea uwezo wa kifedha wa familia husika.
Ni muhimu kwa spy kuwa mbunifu,kwani ukitumia hizi njia ambazo wote mnafundishwa kukamatwa ni rahisi.Ni kama Ninja hacking,technique inatumia mara moja tu.