Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 640
- 1,141
Wale makiwadi watakosa kazi.
Maafisa elimu ni kama makuadi mfumo ukitulia waturudi kufundisha mamamina.
Jamani watumishi wenzangu. Huu mfumo kwa sie pangu pakavu tunasabmit bila baadhi ya taarifa kukamilika??
www.jamiiforums.com
Maafisa elimu ni kama makuadi mfumo ukitulia waturudi kufundisha mamamina.
Jamani watumishi wenzangu. Huu mfumo kwa sie pangu pakavu tunasabmit bila baadhi ya taarifa kukamilika??
DOKEZO - Wakurugenzi na Wakuu wa Idara (sana sana DMO's na DEO's) wamekuwa kikwazo kwenye zoezi zima la uhamisho wa watumishi kwa mfumo mpya ESS
WAKURUGENZI NA WAKUU WA IDARA (SANA SANA DMO's na DEO's) WAMEKUWA KIKWAZO KWENYE ZOEZI ZIMA LA UHAMISHO WA WATUMISHI KWA KISINGIZIO CHA KUTOKUWA ORIENTED NA MFUMO MPYA WA HUDUMA YA UHAMISHO WA WATUMISHI ESS Habari za Asubuhi wanajamvi, Nimeleta habari hii baada ya kujiridhisha na kufanya...