Nakushauri kama huna nia naye (ndoa/mapenzi) basi hujamtendea haki wallahi. Kuna lundo la wanasiasa waandamizi kuanzia ngazi za juu kabisa hatujawahi kuwaona wakiwa na wenza wao kwenye majukwaa ya kuomba kura wala matamasha.Jamani, hivi Ester Bulaya kaolewa?
Mme wake ni nan, yupo wapi na ana kazi gani?
Na watoto je?
Najaribu kufikiria kwa sauti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu mnawaza chini tu 24/7
Wewe ndio unawaza chini, mleta uzi kamuulizia Ester, wewe ukaenda far hadi kufikiria Ester anamiliki nini.Watu mnawaza chini tu 24/7
Halima mdeeJamani, hivi Ester Bulaya kaolewa?
Mme wake ni nan, yupo wapi na ana kazi gani?
Na watoto je?
Najaribu kufikiria kwa sauti.
Ukifanikiwa hilo anzisha kampuni Uiite Kusagana EntreprisesMi nina mpango wa kuwaoa Halima Mdee na Ester Bulaya kwa pamoja
Ukifanikiwa hilo anzisha kampuni Uiite Kusagana Entreprises
Yupi anakoboa hapo
Hapo sasa kazi kwetu
hivi makam wa raisi mme wake nani??Mimi simo.
Msalimie Halima
Victorie dhambi ivo.Atakuwaje ivo mzuri namna hiyo! HaiwezekaniHalima nani sijui ndo nanihiiii wake
hivi makam wa raisi mme wake nani??
hivi makam wa raisi mme wake nani??
Mkuu kiyawi you might be right kuwa Wa-tz wanapo wa-discuss people ni tatizo but you should understand hawa tunaowazungumzia hapa ni public figure's wao ni kioo cha jamii, Europeans (White's) viongozi wao wanajiheshimu wakiharibu nao wana ambiwa makosa yao.Tatizo la waafrika na hasa Watanzania wakishasoma badala ya kuwa wagunduzi kama watu weupe(Europeans) they discuss people instead of ideas, research issues, they engage in Starehe, how to have many wives and concubines, drinking spree even if they are professors Drs consequently we end up importing items like toothpicks from China even simple medical pain killers! We should deal with interesting topics in this jammiiforum on how best the country should be governed and not nani kaoa nani au kaolewa na nani directing your God given talent on what lies between our legs! [emoji40]shame!
matusi yanini kwani huwezi kujibu bila matusi jifunze heshima na kuheshimu wengineMume wake anaitwa Bw Hafidh Ameir na walioana mwaka 1978 na Mpaka leo wako pamoja.
Walijaliwa watoto wanne.
Mmoja kati ya wanawe Wanne Hafidh Ameir (1982), ni mwakilishi maalum katika bunge la Zanzibar.
Na watoto wake ni wakubwa sana na Wanaweza kukuoa ili usiwe Msagaji kama Ulaya na Halimi
Tusi liko wapi hapo? Kusema kuwa kama anataka kuolewa au anaweza kuolewa ni tusi?mat
matusi yanini kwani huwezi kujibu bila matusi jifunze heshima na kuheshimu wengine