Geofre Maseta
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 881
- 1,632
Mualiko unafanywa na Askofu, lini muumini ndo anaalika watu??? Huo uongo unawasaidia nn ninyi vibwengo wa ccm???Mbowe ni muumini wa KKKT tangu kuzaliwa ana haki ya kumwalika mtu yeyote kuja kanisani kwake kushirikiana na waumini wengine kwenye jambo lolote.
Au huko msikiti kwenu wanakataza kualikana hadi Imamu au sheikh wa msikiti??
Kwamba mialiko ya Kanisa la KKKT anaitoa Mbowe ! kwamba yeye ndiye Askofu wa Kanisa hilo au mimi sijaelewa ?
Kwa uwezo wangu wa akili mbowe ameamua ku play loose game ...Halima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wq habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.
Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Mualiko unafanywa na Askofu, lini muumini ndo anaalika watu??? Huo uongo unawasaidia nn ninyi vibwengo wa ccm???
Kanisa linakuwa na lengo lake la kupata kiasi fulani cha pesa hivyo huruhusu waumini wote kualika mtu yeyote ambaye anaweza kuja na kuchangia ujenzi.Mualiko unafanywa na Askofu, lini muumini ndo anaalika watu??? Huo uongo unawasaidia nn ninyi vibwengo wa ccm???
Sasa unauliza swali alafu Unajijibu mwenyewe.Halima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wq habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.
Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Kwa mtazamo huo wanaosema Chadema ni saccos ya Mbowe hawajakosea! Anafanya biashara!!!Siasa ni kama biashara nyengine yoyote. Hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu.
Makamanda mmeduwazwa. Ha ha ha 😂😂, na mbowe anajua hamna uwezo wa kufanya chochote anawapeleka kama mang'ombe tuuPorojo tupu !
Atakuwa ni LissuHalima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wq habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.
Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Unajiuliza maswali unajijibu kweli mzima wewe?Halima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wq habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.
Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Wewe ni zaidi ya bwegeMahakama ilishatamka kuwa tulishawatimua.
Sasa kwa nini amewaalika kama wabunge?
View attachment 2859046
Mbele ya hela hakuna dhaifu!Mahakama ilishatamka kuwa tulishawatimua.
Sasa kwa nini amewaalika kama wabunge?
View attachment 2859046
Akikujibu huyo bwabwa la samia na bashite najitoa jf.Kwamba mialiko ya Kanisa la KKKT anaitoa Mbowe ! kwamba yeye ndiye Askofu wa Kanisa hilo au mimi sijaelewa ?