Ester Bulaya: Mwenyekiti wetu wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitualika na Halima Mdee tuhudhurie hafla ya kuchangia kanisa Machame

Ester Bulaya: Mwenyekiti wetu wa CHADEMA, Freeman Mbowe alitualika na Halima Mdee tuhudhurie hafla ya kuchangia kanisa Machame

Kaka najua una nia nzuri, lakini hili swala lao mi naliona ni zaidi ya hiyo nia nzuri uipendayo.
Asante sana Mkuu Nanye Go , ni faraja sana kwa jf kuwa na watu wenye objectivity ya kiwango chako, watu wengi humu ambao ni mashabiki wa Chadema, wako very negative kwa kila anayeikosoa Chadema, wanamuona ana chuki na Chadema, hivyo mtu hata ukitoa ushauri mzuri kwa Chadema, unapokelewa negatively, mfano mzuri ni ushauri huu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... hivyo kwenye hii issue ya hawa wabunge, ushauri wangu ni huu Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
Swala hili liko kisheria na kanuni zaidi.
Hapa ndipo mzizi wa fitna ulipolalia, kuna vitu 5, katiba, sheria, taratibu, kanuni na haki.
  1. Katiba- ili mtu uwe Mbunge ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa. Baada ya CC ya Chadema kuwavua uanachama, from that moment, kikatiba wanapoteza sifa za kuwa wabunge. Hili halikufanyika kwasababu kwasababu wabunge wale wametimuliwa Chadema kinyume cha katiba ya Chadema!.
  2. Kisheria- Unapofutwa uanachama na chama chako, automatically unakuwa sio mwanachama halali kisheria, hivyo wabunge wale wanaendelea kupeta bungeni kinyume cha katiba na kinyume cha sheria za nchi, kwasababu Chadema hawakufuata mkondo wa sheria kuwashughulikia.
  3. Taratibu za kuwatimua kwa mujibu wa katiba ya Chadema, hazikufuatwa.
  4. Kanuni za haki za no one is condemned unheard, haikufuata.
  5. Hivyo uamuzi wa CC ya Chadema kuwatimua sio uamuzi haki, NEC, Bunge limeamua kuwakingia kifua ili haki yao ipatikane, hata kama wanamakosa ya Kughushi, kosa lithibitishwe, wahukumiwe kwa haki, hata kama ni kufukuzwa, then wafukuzwe kwa haki, kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni. Sheria na Haki ni vitu viwili tofauti kabisa!.
Hawa wadada wanafahamu walikosea, kukaidi maamuzi ya chama chao na kujipeleka bungeni.
Hili kosa la kujipeleka, lithibitishwe!. NEC wana barua ya uteuzi kutoka Chadema, it's legit bonafide genuine ndio maana Chadema hawajaripoti jinai ya forgery
Ofa ya ccm kuwapeleka bungeni was too good for them to refuse. Walipokea rushwa kwa shingo upande,
Rushwa pia ni kosa la jinai, if they can proof this,it's a crime, this is criminal, hivyo there is criminal liabilities that needs evidence to be proved sheria ifuate mkondo wake.
lakini walipokea ubunge bila ridhaa ya chama, na bila chama wasinge ingia bungeni. Kwa maana nyingine wao sio wakubwa kuliko chama chao.
Hili nakubaliana na wewe, kwasababu hawa ni wabunge wa viti maalum, wangekuwa ni wabunge wa kuchaguliwa, baada ya kuchaguliwa na wananchi, wanakuwa ni wakubwa kuliko chama, wanakuwa ni watumishi wa wananchi The Doctrine ya Mwanasiasa Kuwa Maarufu Kuliko Chama!-Ni "Utumishi wa Watu VS Utumishi wa Chama
Sasa kesi zile ni kutaka muafaka kisheria na sio swala la nia nzuri, na wewe ni mtaalam wa sheria. Kesi siyo ugomvi, ila ni njiaau utaratibu mzuri tuliojiwekea kupata haki. Kwa mantiki hiyo sioni ugomvi kati ya Halima na wenzake dhidi ya Viongozi wa chama, naamini wana mahusiano mazuri ila kuna taratibu lazima zifuatwe ili waweze kurejea kwenye chama chao, hili siyo swala la Mbowe au Lisu bali ni swala la kisheria na kanuni za taasisi ya chadema, siyo HURUMA au mapenzi ya mtu.
Nakubaliana na wewe
Watasamehewa lakini baada ya taratibu za kisheria kwisha.
Taratibu za kisheria zimekamilika kwa hukumu ile ya mahakama Kuu, imebariki kufukuzwa kwao na CC ya Chadema, ila rufaa ndio isikilizwe upya, hivyo kesi imekwisha.

Nimewaombea msamaha kwasababu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mwanachama akifungua kesi mahakamani dhidi ya chama, kesi ikiisha, akishindwa anakuwa amejifukuzisha uanachama wake kwa mtindo wa final and conclusive.
Happy New Year
P
 
Uko sawa kutilia shaka uwezo wa akili zako, Mbowe hana kanisa lolote nchini.
Wewe ccm na uwakili wako unataka tukuamini kuwa unaishauri chadema kwa nia safi!! Kama ni kweli Magufuli was spot on kuwa kwao “ Mayalla maana yake Njaa” Kumbuka kuwa majina huumba!
 
Halima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wa habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.

Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Watu waovu wamealikwa kanisani hawajui ni kwanini?
Badala ya hao wanawake kuitumia fursa hiyo kutubu na kuomba msamaha kwa uovu walioufanya kwa watanzania, wao wamebaki kuzubaa.
 
Mkuu chiembe, asante sana kwa taarifa hii Easter Bulaya: Mwenyekiti wetu wa Chadema, Freeman Mbowe alitualika na Halima Mdee tuhudhurie hafla ya kuchangia kanisa Machame
Niliwahi kuuliza Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?
Kisha nikasema Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?

Hiki alichokifanya Chairman Mbowe ndio highest standards of statesmanship, Halima ni born and breed Chadema, kaipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, she is a human being anaweza kukosea, hivyo tofauti za kichama zisijenge uadui kwenye social events zozote za shida na raha, Halima ni yule yule aliyelelewa Chadema.

Hongera sana Chairman Mbowe, kusameheana kupo na mkifuata ushauri huu Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
mtabarikiwa sana!.
P
Mbowe ni "DINGIJANJA" anafanya siasa za akili kwenyepesa na hashindwi kupindisha taratibu alimradi italeta pesa. Huwezi ng'ang'ania Sheria huku unakufa njaa Siasa inahitaji ujanja sana lasivyo utaishia kuwa ombaomba na kuchekwa!!
Kama Lowasa alipewa ugombea kwamsukumo wa Mbowe unashangaa Nini kinamdee kupewa ubunge na Mbowe kujidai haelewi na hakubaliani ilhali kawaruhusu kisela. Wale watoto hawawezi kulima,biashara nk. waacheni wale kiukaini...
Hivi Hawa esta esta hamna anaye-"mjua" dingijanja Mbowe kweli??
 
Kwamba mialiko ya Kanisa la KKKT anaitoa Mbowe ! kwamba yeye ndiye Askofu wa Kanisa hilo au mimi sijaelewa ?
utaratibu wa kanisa unaanda kadi landa 10 unampa mbowe lengo mbowe awashirikishe rafiki zake

ni kawaida hata rc inafanyika sana ukipewa unaalika watu wako hata kama sio wa kanisa lako
 
Wewe ccm na uwakili wako unataka tukuamini kuwa unaishauri chadema kwa nia safi!! Kama ni kweli Magufuli was spot on kuwa kwao “ Mayalla maana yake Njaa” Kumbuka kuwa majina huumba!
Sijakuelewa, naona vyuma vimekaza.
 
Tofauti zao ni za kisiasa, kwenye masuala mengine ya kijamii tunabaki kuwa kama ndugu!

Mbowe ana akili sana, kumuelewa inahitaji uwe na akili kumzidi yeye vinginevyo utaumiza kichwa.
 
Kwamba mialiko ya Kanisa la KKKT anaitoa Mbowe ! kwamba yeye ndiye Askofu wa Kanisa hilo au mimi sijaelewa ?
Ukialikwa na muumini shida iko wapi? Acha utetezi uchwara. Mbowe ni muumini na ana haki ya kualika watu wake. Siasa tu kila wakati. Kaa kimya sometimes
 
Halima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wa habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.

Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Mkuu kwenye siasa hakuna adui wa milele, yale yote unayo yaona yanatendeka kwa hawa wanasiasa wetu ni usanii tu ila nyuma ya pazia wanapigana miti na kurogana pamoja na kupanga namna ya kuwachezea akili wananchi wao. Never trust any mwanasiasa, watakuliza.
 
Halima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wa habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.

Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Mlialikwa kama waalikwa wengineo hakuna Chama wala Siasa na hata sio ukaribu.
Kilichoamgaliwa hapa ni fedha basi.
Mbona kina sisi na wewe huku hukualikwa ?? Jitafakari.
Pesa inaongea!

Tafuta pesa kwa spidi.
 
Asante sana Mkuu Nanye Go , ni faraja sana kwa jf kuwa na watu wenye objectivity ya kiwango chako, watu wengi humu ambao ni mashabiki wa Chadema, wako very negative kwa kila anayeikosoa Chadema, wanamuona ana chuki na Chadema, hivyo mtu hata ukitoa ushauri mzuri kwa Chadema, unapokelewa negatively, mfano mzuri ni ushauri huu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... hivyo kwenye hii issue ya hawa wabunge, ushauri wangu ni huu Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?

Hapa ndipo mzizi wa fitna ulipolalia, kuna vitu 5, katiba, sheria, taratibu, kanuni na haki.
  1. Katiba- ili mtu uwe Mbunge ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa. Baada ya CC ya Chadema kuwavua uanachama, from that moment, kikatiba wanapoteza sifa za kuwa wabunge. Hili halikufanyika kwasababu kwasababu wabunge wale wametimuliwa Chadema kinyume cha katiba ya Chadema!.
  2. Kisheria- Unapofutwa uanachama na chama chako, automatically unakuwa sio mwanachama halali kisheria, hivyo wabunge wale wanaendelea kupeta bungeni kinyume cha katiba na kinyume cha sheria za nchi, kwasababu Chadema hawakufuata mkondo wa sheria kuwashughulikia.
  3. Taratibu za kuwatimua kwa mujibu wa katiba ya Chadema, hazikufuatwa.
  4. Kanuni za haki za no one is condemned unheard, haikufuata.
  5. Hivyo uamuzi wa CC ya Chadema kuwatimua sio uamuzi haki, NEC, Bunge limeamua kuwakingia kifua ili haki yao ipatikane, hata kama wanamakosa ya Kughushi, kosa lithibitishwe, wahukumiwe kwa haki, hata kama ni kufukuzwa, then wafukuzwe kwa haki, kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni. Sheria na Haki ni vitu viwili tofauti kabisa!.

Hili kosa la kujipeleka, lithibitishwe!. NEC wana barua ya uteuzi kutoka Chadema, it's legit bonafide genuine ndio maana Chadema hawajaripoti jinai ya forgery

Rushwa pia ni kosa la jinai, if they can proof this,it's a crime, this is criminal, hivyo there is criminal liabilities that needs evidence to be proved sheria ifuate mkondo wake.

Hili nakubaliana na wewe, kwasababu hawa ni wabunge wa viti maalum, wangekuwa ni wabunge wa kuchaguliwa, baada ya kuchaguliwa na wananchi, wanakuwa ni wakubwa kuliko chama, wanakuwa ni watumishi wa wananchi The Doctrine ya Mwanasiasa Kuwa Maarufu Kuliko Chama!-Ni "Utumishi wa Watu VS Utumishi wa Chama

Nakubaliana na wewe

Taratibu za kisheria zimekamilika kwa hukumu ile ya mahakama Kuu, imebariki kufukuzwa kwao na CC ya Chadema, ila rufaa ndio isikilizwe upya, hivyo kesi imekwisha.

Nimewaombea msamaha kwasababu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mwanachama akifungua kesi mahakamani dhidi ya chama, kesi ikiisha, akishindwa anakuwa amejifukuzisha uanachama wake kwa mtindo wa final and conclusive.
Happy New Year
P
Shukran kaka, nimesoma vizuri na nimekuelewa vyema. Binafsi naona Hawa wadada wote bado wana nia kuendelea kuwa wananchama wa chama chao cha chadema. After all that, and the dust sattles down ningependa kuona wana rejeshewa uwanachama wao ndani ya chama chao. Naelewa Chadema nao wanataka kulinda heshima ya chama chao kwenye jamii, lakini hili ni gumu sana kwao wote hawa wadada na kwa chama kama taasisi. Wavumiliane waendelee mbele kujenga taasisi yao.
Ushauri wako ulikuw amzuri lakini sidhani kama kuna kiongozi yeyote wa chadema aliweza kuupitia na kuufanyia kazi. Mikiki mikiki yta Siasa ilikuwa mingi, mihemko, hivyo isingekuwa rahisi wao kufanya tofauti na walivyofanya.
Anyway, shukrani kaka kwa majibu mazuri.
 
Hujaelewa kitu gani? Leo hii ccm inaweza kupokea ushauri kutoka kwa Mdude? Jibu unalo mwenyewe.
Mbowe anahusikaje kwenye michango ya kanisa! Mbowe ni mshiriki tu wa dhehebu hilo na hana wadhifa wowote wa kikanisa na ni jambo la kawaida watu kuhamasishana kuhudhulia jambo fulani hata kama halimuhusu moja kwa moja, sasa hoja inayomuhusisha Mbowe kwenye Post hii ni nini.
 
Halima Mdee na Easter Bulaya, wakihojiwa na waandishi wa habari, wamesema, Mwenyekiti wa Chama chao amewaalika kuhudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa.

Je, Mbowe hana kinyongo nao? kuna dalili hawa watu watasameheana? Je ni nani anakwamisha wasisameheane? Lissu?
Mbowe ni dalali wa wanasiasa,,,,,,,
 
Back
Top Bottom