Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Nani atakusikiliza na hizi porojo zako wewe ? endeleeni kutunga uchafu mtalipishwa tu muda si mrefu
 
Huyu baunsa na miwani yake mbona kama kaganda ivi? Badala yakumsaidia mwenzie au nae ni police
 
Wee acha upumbavu. Tazama video hii!
Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu kiongozi wenu amesema atawaamuru manyumbu wake muingie barabarani. Tunasubiri kwa hamu kuona huo mtanange
Inawezekana jirani zako hawana Tv kwasababu ungekua unaenda kuchungulia majeshi inchi zingine hawana hamu yakula kwasababu yanini.Shida haujuwi ratio ya asikari kwa raia ni ipi....Man up.
 
kama huyo jamaa angekua sio jambazi asingewakimbia polisi yani kiuhalisia huyo ni muhalifu halafu unaeleta taarifa hii hapa nawe ni Muhalifu Pia maana unasema polisi wamemkamata na kumpeleka kusiko julikana kwani polisi wakimkamata muhalifu wana mpeleka wapi tofauti na kituo cha polisi? acheni ujinga kulaumu kwenu na kulalamika kwenu sio sababu ya nyie kufanya uhalifu na mkaachwa.
Tulisema tangu awali kwamba CCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa

View attachment 1600019
 
hii bado imekaa kishabiki sana mkuu. Maana unaonekana kabisa wewe ni kada wa kijani. Tunaomba taarifa rasmi ya polisi na sio maneno yako. Tunapenda sana kujua nini kilitokea kablabya kukimbizwa huyo mtu.
Huu ni mpango ,yeyote ambaye atakuwa kikwazo kwa ajili ya wao kutofanikisha mpango wao . aidha anasingiziwa ana silaha , jambazi sugu , alihusika katika mauaji fulani , alikwepa kodi , alitakatisha pesa , wahamiaji haramu , .

kwa maana mtukio ya kuwafanya chadema kupunguza speed yapo mengi kwa kupitia mkono wa polisi . Swali langu why now? , je siku zote alikuwa haonekani ? .
 
Erythrocyte Easter Matiku si yuko hospitalini amelazwa baada ya kupigwa na askari wa kiume? Kapona lini na kurejea nyumbani? au hili ni tukio la siku nyingi?
kama huyo jamaa angekua sio jambazi asingewakimbia polisi yani kiuhalisia huyo ni muhalifu halafu unaeleta taarifa hii hapa nawe ni Muhalifu Pia maana unasema polisi wamemkamata na kumpeleka kusiko julikana kwani polisi wakimkamata muhalifu wana mpeleka wapi tofauti na kituo cha polisi? acheni ujinga kulaumu kwenu na kulalamika kwenu sio sababu ya nyie kufanya uhalifu na mkaachwa.
 


Tusubiri tamko la Balozi wa Marekani
 
Afende hezron magoti mimi siyo mleta taarifa usiniandikie RB tafadhali
 
wale walipigwa risasi hadi kuzusha vurugu ilikuwa mwaka gani? George aliyekandamizwa ardhini na goti? au unajitoa ufahamu mkuu.
Ile ni tabia binafsi ya yule Askari mbaguzi,lkn still wako professional kuliko Hawa makada
 
Kwa hiyo nyumbani kwa Matiko Ni kambi la majambazi?! Utakuwa una utapiamlo wa ubongo wewe unatutafutia bann za kishenzi Kama ilivyo akili yako. Kwani Ukiwa CCM Ni Lazima ujitoe ufahamu?! Mimi Ni mwanachama hai wa CCM na sioni sababu ya kurudisha kadi Ila tarehe 28 nitawachinja kuanzia ngazi ya kata Hadi taifa.
 
Thus Lisu anakufundisheni sheria mnazoshindwa kuzitafsiri,we ni mgeni wa wapinzani kubambikwa kesi kila ukaribiapo uchaguzi,we uoni ni Kama mlengwa pale ni matiko thus wamemprovoke kwa kumpiga dole ili a react wampe kesi amepigana na police ili akose ubunge.Hii michezo ukiwa mtoto utoielewa.Sababu anajua mitego yao hakureact na angereact angepewa kesi.
 
Inakuwaje mlinzi anakimbilia ndani na kutaka kulindwa na anayemlinda?
 
Tatizo lenu ndio hili, huyo kakimbizwa kutoka nje, hao wengine wote hawajaguswa wamemfuata yeye tu, hapo ni lazima kuna kitu kafanya na ndio maana amekimbilia ndani.
Kwa navyojua polisi walivyo huyo sasa hivi washamtegua mguu, kuna ujinga nje itakuwa kafanya.
Aminywe kende ili iwe fundisho siku nyingine aelewe ujinga hauna malipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…