Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Erythrocyte Easter Matiku si yuko hospitalini amelazwa baada ya kupigwa na askari wa kiume? Kapona lini na kurejea nyumbani? au hili ni tukio la siku nyingi?
Aliyelazwa ni mgombea wa Serengeti Catherine Ruge baada ya kupigwa na polisi kwa maelekezo ya ccm yanayosimamiwa na Simon Sirro
 
Acha ujinga wewe, kwaiyo kama iko shida mahali ndo akamatwe vile, kama jambazi kama sio mtanzania. Unafikiria kwa kutumia makalio nini?
Mjinga wewe hapo,hapo mpaka amekimbilia ndani maana yake ameshindwa kutii amri ya polisi,maana yake kagoma,kitendo cha kwenda ndani je angechukua silaha na kuwadhuru polisi,mimi nimekamatwa hata mara kumi inafika na sijawahi kupigwa,unavyotaka ndio hivyohivyo unafanyiwa.
 
Haya mambo ya ukatili wa kutisha yanayofanywa na maccm kea kushirikiana na polisiccm yanaudhi na kutia hasira sana. Na wale wahuni wa Tumeccm wako kimya kabisa huku wakiwa wamewaengua wagombea wengi wa Chadema pamoja na kuwafungia Mdee na Lissu kwa siku moja.
Tulisema tangu awali kwamba bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba , Ushahidi wa video huu hapa


View attachment 1600019
 
Mwambieni Magufuli ASIWAJARIBU KABISA PENTAGON.

Pentagon wamekwisha kumuonya JIWE na hasikii, LUMUMBA mwambieni Mzee wenu PENTAGONI ni makao makuu ya ulinzi ya Jeshi la Marekani.

Think Tank haina mchezo. Atabiduliwa
Pentagon kitu gani bhana,hata sisi tuko na Ngome shida iko wapi!?
 
Back
Top Bottom