Ester Matiko: Kama Chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

Mkuu jaribu kufikiria nje ya Box kwenye orodha hiyo ya wabunge yumo mke wa John Mrema na mke wa Mwaalim, Ester Matiko sasa bado unaendelea kusumbua kichwa chako tuuu!!
 
Esther ni mke wa Mwalimu hawezi kufukuzwa!
Ndiyo sababu kubwa ya kuchelewa kupeleka majina ya wabunge viti maalum , kila kiongozi alipeleka hawara Yake wakaanza kugombana, Mbowe akaona hawezi kuwakataa mishahara mahawara wa vigogo wenzake na Hadi leo kasusa yupo kimya Sasa.
 
Viti vya Halima Mdee viheshimiwe, Chadema jikiteni kwenye mambo mengine ya uchumi wa nchi.
 
Bora hawa wamebebwa kibabe kuliko kina waitara.
Wale kina waitara ndio wameondoka kike kike
 
Hata hawa nao wamepelekwa kwa hisani ya serikali. Kuna mahali nimesoma Matiko ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema hivyo anajua taratibu zote za kufuatwa kupata wabunge viti maalum.
 

njoo nikuoe tu sasa,maana huu ujinga tu kuwaamini watu kwenye siasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Kwan hawa watu walishikiwa mtutu kwenda kuapa??
mnaacha kudeal na watu wa kwenu huko mmekaa kuilaumu serikali 😅
mpaka mje kushtuka 2025 hii hapa na hakuna kitu mmefanya.
Chadema mnalawama Sana aisee Yani hata Hili bado mnawalaumu ccm???😳😳
 
Kama mbowe aliweza kumzunguka Dkt Silaa kwenye sakata la Kunipokea EL
Na akakiri kuwa Yeye Ndo Alibadili Gia Angani!!
Mbowe mfanyabiashara WA kisiasa Awezi kukubali Chadema kinaenda kuwa TLP
Wakati ashapiga hesabu ya Wabunge 20 mpaka SASA!!
 
Kuwa Mbunge hakuhusiani na unyanyasaji.Mbona Lissu alikubali kuapishwa ubunge mwaka 2015 wakati EL alilalamika kuibiwa kura?
We dada ule udhalilishaji uliofanyiwa na wale mapolice umeukubali kwa kukisaliti chama kwa kulipwa ujira huu? Kweli dunia ina mambo!!
 
Kuwa na kawaida ya kuingiliwa kinyume na maumbile haijawahi kumuwacha mtu salama. Huyu dada pamoja pamoja na wenziwe Halima na Bulaya wamedhihirisha tabia zao wanazofanyiwa vyumbani

Hata Kuwafananisha na madada poa pia ni kuwakosea heshima madada poa.
 
Huyu msomi wa SUA amejibu kisomi sana, sio kama madam polepole.

Anyway Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Kunywa maji mwamba, unaijua siasa ya bongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…