Wewe umeandika upuuzi mtupu sasa wabunge hawa wameshakula mlungula na keshokutwa wanapewa unaibu waziri kwa maslahi yao binafsi na matumbo yao lakini wamewasaliti Watanzania milioni mangapi waliokuwa wakiungana kuwachangia katika matatizo mbali mbali yaliyowakuta wakiwa na Chadema halfu unakuja na lugha nyepes namna hii hapa jf? unafkiri Halima mdee ana habari tena na watu wa Kawe sijui kigamboni? angalia kina wale Kafulila, Machali, Lowassa, Lipumba, Sumaye, dr slaa, sijuwi Mashinji nk. hawa woote umewahi kusikia wakiikosoa serikali? kila mmoja ni yeye na alichopatana kupewa akaendesha maisha yake.
Hawa kina mdee unafkiri atasema nini bungeni wakati bosi wake ni Magufuli? Ata jambo hili unahitaji darasa la uelewa.