Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
always mlipia ngoma ndiye huwa anachagua wimbo, usitegemee kina halima kwenda kinyume na aliyewanunuaMimi naamini kwenye mijadala watatuwakilisha vyema; kwenye kuamua mambo kwa kura ndipo watazidiwa kutokana na uchache wao.
Kama kuna pesa kama nchi itakuja wewe ulitaka tukose hiyo pesa ili hilo pengo lizibwe na nani? Waendelee kukamua wafanyabiashara mpaka tukose ada za watoto wetu?
Nyumbu huwa hawatunzi kumbukumbu unajisumbua tuu hawaelewi Hawa.Acha kukariri wewe kwani wale walioanza kukisaliti chama na kuhamia CCM kama nyumbu wanaotafuta malisho walikuwa ni wanawake?
Mbona watu mnapoteza kumbukumbu haraka sana.
Mnyika anatumika tu bila kujua kwamba mwenye chama kashafanya maamuziHaaa haaa ulipewa taarifa na katibu? Eti na mamlaka husika. Hizi sanaa za kisenge mnatuletea
Ulikuwepo?Anaongea kwa kiburi kwa sababu jana usiku walikutana na meko na spika, meko kawahakikishia kuwa hakuna wa kuwagusa iwe mahakamani ama wapi.. ester atakuwa naibu spika na mdee pia atakuwa naibu spika.imeisha hiooo. dont trust politicians
Watu wa kwanza kuwahangaikia ni familia yake halafu wanafuata wananchi wasiojulikana.Nimewalaumu sana hawa kina dada waheshimiwa, baadae nikajaribu kujiweka kwenye nafasi zao nikaona huenda hata mimi ningechukua maamuzi kama yao.
Guys, hebu fikiria ulikuwa kila mwezi kuna mzigo unaingia kwenye account yako alafu gafla zinakata na hauna plan B. Kukaa bila kazi kwa miaka hii sio mchezo. Alafu gafla inakuja ofa ya kuingia kwenye orodha ya wafaidi keki ya taifa, na wanaokupa hiyo ofa wana nguvu, mamlaka na uwezo wa kukulinda unapokula ugali wako. Nafikiri tukiangalia kwa angle hii hatutoendelea kuwalaumu hawa kina dada.
Hebu angalia wenzao waliopita njia hizo; Silinde, Slaa, Mollel, Waitara etc alafu wao wakatae ofa hiyo eti wafe njaa kisa waonekane mashujaa? Tuwe wakweli kizazi cha mashujaa wa hivyo hakipo tena kwa sasa.
Ana haki ya kushikwa matako, kumbe in was hovyo. Hao tunawatomasa matako kwenye baa, wanawake Malaya wa fedha ndiyo zao na stahili zao in hizo ikiwemo ya kuruka ukutaWe dada ule udhalilishaji uliofanyiwa na wale Mapolice umeukubali kwa kukisaliti chama kwa kulipwa ujira huu? Kweli dunia ina mambo!!
Mimi hao wengine wote sina muda nao, nalia na Halima tu mimi.
Halima amekivunja chama kabisa, Halima tulimuamini na kumpa jeshi letu la wanawake na nilitegemea pasi na shaka Mbowe akistaafu uwenyekiti basi kama sio Lissu, Heche basi ni yeye!
I’m disappointed
🤣🤣Haaa haaa ulipewa taarifa na katibu? Eti na mamlaka husika. Hizi sanaa za kisenge mnatuletea
😲😲Esther ni mke wa Mwalimu hawezi kufukuzwa!
🤣🤣🤣🤣Mimi hao wengine wote sina muda nao, nalia na Halima tu mimi.
Halima amekivunja chama kabisa, Halima tulimuamini na kumpa jeshi letu la wanawake na nilitegemea pasi na shaka Mbowe akistaafu uwenyekiti basi kama sio Lissu, Heche basi ni yeye!
I’m disappointed
Wewe umeandika upuuzi mtupu sasa wabunge hawa wameshakula mlungula na keshokutwa wanapewa unaibu waziri kwa maslahi yao binafsi na matumbo yao lakini wamewasaliti Watanzania milioni mangapi waliokuwa wakiungana kuwachangia katika matatizo mbali mbali yaliyowakuta wakiwa na Chadema halfu unakuja na lugha nyepes namna hii hapa jf? unafkiri Halima mdee ana habari tena na watu wa Kawe sijui kigamboni? angalia kina wale Kafulila, Machali, Lowassa, Lipumba, Sumaye, dr slaa, sijuwi Mashinji nk. hawa woote umewahi kusikia wakiikosoa serikali? kila mmoja ni yeye na alichopatana kupewa akaendesha maisha yake.Kwa maoni yangu, wananchi tunahitaji watu wa kutusemea Bungeni hata kama ni wachache. Wale wengi wapo upande wa serikali hivyo hawatakuwa upande wetu sana; hawa 20 ni bora waachwe tuu kwani wachache hupewa nafasi kubwa ya kusikilizwa naamini tutawakilishwa vyema.
Hayo mengine yaliyotokea kwa kuwa wanasiasa wengi huubiri suala la KUJIAJIRI ni vizuri NAO wakajiajiri hii miaka mitano.
Baada ya jana wabunge wa viti maalum kuapishwa, waandishi wa habari walifanikiwa kufanya mahojiano madogo na mbunge mmojawapo, Ester Matiko huku wengine wakigoma. Yafuatayo ni maswali kutoka kwa waandishi na majibu kutoka kwa Ester Matiko.
MWANDISHI: Mmepata baraka za Chama?
MATIKO: Nadhani wote tunajua taratibu za viti maalum mpaka kuweza kufika wabunge kuteuliwa, kuna utaratibu ambao unaendelea ndani ya chama kupitia wings mbalimbali na baadae chama kinabariki na majina yanaenda kwenye tume ya Taifa ya uchaguzi, binafsi nilitaarifiwa nimeteuliwa ndio maana nimefika hapa kuja kuapa.
MWANDISHI: Ulitaarifiwa na katibu?
MATIKO: Na mamlaka husika
MWANDISHI: Lakini katibu wa chama anasema hana taarifa na hilo na watachukua hatua kali dhidi yenu, hili unalizungumziaje?
MATIKO: Sijui zaidi ya hapo, kwa uchache wetu ambao tumekuja hapa, nipende tu kuwaambia watanzania, wategemee makubwa kwetu pamoja na kwamba tuko 19. Tunajua yote yaliyojiri kwenye uchaguzi mkuu ulioisha hadi tukapata hiki kidogo katika ushindi wetu mkubwa tuliokuwa nao.
MWANDISHI: Endapo chama kikiwafuta uanachama, mmejiandaa kuchukua hatua?
MATIKO: Tupo hapa kwa sababu ya chama kwa hiyo kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari.
MWANDISHI: Awali msimamo wa chama chenu ilionekana haukubaliani kuweza nyie kushiriki hapa
MATIKO: Nadhani leo jukumu kubwa ni kuapa na tumetimiza hilo, yanayojiri mengine yote yanawezwa kuzungumzwa kwa wakati muafaka. Katika neno letu la shukrani tumesema dhahiri kabisa tunakishkuru chama cha demokrasia na maendeleo kututeua sisi watu 19 kukiwakilisha katika bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuweza kuwasemea watanzania na chama chetu sasa mengine kama yalijiri yakaenda yakarudi, yatazungumzwa kwa wakati muafaka. Asante.
MWANDISHI: Ndio kusema mmesalimu amri
MATIKO: Sio msemaji wa chama, mimi ni mbunge mteule, ASANTENI SANA.
ungeiona hiyo clip basi ungeungana na mimi.Kama kafanyiwa udhalilishaji yeye, mbona inaonekana wewe ndio unaumia zaidi. Acha wivu na husda
yaan upinzan wa tanzania ni dhaifu na ovyo kabisa kuliko wapinzani wa nchi zote zinazotuzunguka, sasa hawa kina mdee wamekuwa wabunge miaka yote leo hii wanakomalia kwenda kwa nafasi za viti maalum! hizo zilikuwa nafasi za kuwainua wanawake wengine kama vile kina matiko walivyoinuliwa na kufikia hapa, yaan hapa wamepoteza kabisa credibility hawa watu, CCM wanavyosema watatawala milele inawezekana ikawa kweli loh!Mimi hao wengine wote sina muda nao, nalia na Halima tu mimi.
Halima amekivunja chama kabisa, Halima tulimuamini na kumpa jeshi letu la wanawake na nilitegemea pasi na shaka Mbowe akistaafu uwenyekiti basi kama sio Lissu, Heche basi ni yeye!
I’m disappointed
Baada ya jana wabunge wa viti maalum kuapishwa, waandishi wa habari walifanikiwa kufanya mahojiano madogo na mbunge mmojawapo, Ester Matiko huku wengine wakigoma. Yafuatayo ni maswali kutoka kwa waandishi na majibu kutoka kwa Ester Matiko.
MWANDISHI: Mmepata baraka za chama?
MATIKO: Nadhani wote tunajua taratibu za viti maalum mpaka kuweza kufika wabunge kuteuliwa, kuna utaratibu ambao unaendelea ndani ya chama kupitia wings mbalimbali na baadae chama kinabariki na majina yanaenda kwenye tume ya Taifa ya uchaguzi, binafsi nilitaarifiwa nimeteuliwa ndio maana nimefika hapa kuja kuapa.
MWANDISHI: Ulitaarifiwa na katibu?
MATIKO: Na mamlaka husika
MWANDISHI: Lakini katibu wa chama anasema hana taarifa na hilo na watachukua hatua kali dhidi yenu, hili unalizungumziaje?
MATIKO: Sijui zaidi ya hapo, kwa uchache wetu ambao tumekuja hapa, nipende tu kuwaambia watanzania, wategemee makubwa kwetu pamoja na kwamba tuko 19. Tunajua yote yaliyojiri kwenye uchaguzi mkuu ulioisha hadi tukapata hiki kidogo katika ushindi wetu mkubwa tuliokuwa nao.
MWANDISHI: Endapo chama kikiwafuta uanachama, mmejiandaa kuchukua hatua?
MATIKO: Tupo hapa kwa sababu ya chama kwa hiyo kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari.
MWANDISHI: Awali msimamo wa chama chenu ilionekana haukubaliani kuweza nyie kushiriki hapa
MATIKO: Nadhani leo jukumu kubwa ni kuapa na tumetimiza hilo, yanayojiri mengine yote yanawezwa kuzungumzwa kwa wakati muafaka. Katika neno letu la shukrani tumesema dhahiri kabisa tunakishkuru chama cha demokrasia na maendeleo kututeua sisi watu 19 kukiwakilisha katika bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuweza kuwasemea watanzania na chama chetu sasa mengine kama yalijiri yakaenda yakarudi, yatazungumzwa kwa wakati muafaka. Asante.
MWANDISHI: Ndio kusema mmesalimu amri
MATIKO: Sio msemaji wa chama, mimi ni mbunge mteule, ASANTENI SANA.
Achana na mpaka poda huyo, pimbi tu.tuliza papa.
nitakamatwa na nani??? na nitakamatwaje?
meko ni nani?
tuanzie hapo.