issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,788
- 5,217
Aliyeingia mkenge sio Mbowe bali ni Watanzania tuliokuwa tumeweka imani kwa wapinzani.Hawa watu bhana..
Nje ya Bunge hawana wanaloliweza..
Mbowe kwa hili ameingia mkenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeingia mkenge sio Mbowe bali ni Watanzania tuliokuwa tumeweka imani kwa wapinzani.Hawa watu bhana..
Nje ya Bunge hawana wanaloliweza..
Mbowe kwa hili ameingia mkenge
Hivi kwa akili yako unadhani mbwa anaweza kumbwekea anayemlisha chakula? Usitegemee lolote kutoka kwa hao wanawake ambao wamefadhiliwa na CCM ili serikali isikose pesa ya UNKwa maoni yangu, wananchi tunahitaji watu wa kutusemea Bungeni hata kama ni wachache. Wale wengi wapo upande wa serikali hivyo hawatakuwa upande wetu sana; hawa 20 ni bora waachwe tuu kwani wachache hupewa nafasi kubwa ya kusikilizwa naamini tutawakilishwa vyema.
Hayo mengine yaliyotokea kwa kuwa wanasiasa wengi huubiri suala la KUJIAJIRI ni vizuri NAO wakajiajiri hii miaka mitano.
Mbona bibi yako anaosha vyombo na hajafa?Ulitaka aendelee kukaa tu nyumbani anaosha vyombo?
Kamanda umepanic teh teh teh...!!Haaa haaa ulipewa taarifa na katibu? Eti na mamlaka husika. Hizi sanaa za kisenge mnatuletea
Mimi naamini kwenye mijadala watatuwakilisha vyema; kwenye kuamua mambo kwa kura ndipo watazidiwa kutokana na uchache wao.Hivi kwa akili yako unadhani mbwa anaweza kumbwekea anayemlisha chakula? Usitegemee lolote kutoka kwa hao wanawake ambao wamefadhiliwa na CCM ili serikali isikose pesa ya UN
Acha kukariri wewe kwani wale walioanza kukisaliti chama na kuhamia CCM kama nyumbu wanaotafuta malisho walikuwa ni wanawake?Wamawake si wakuamini, akipewa mshiko kidogo anababaika. Hata shetani alianza na Hawa. Wameaibisha wanawake
Miongoni mwa Waha wachache wapumbavu niliowahi kuwashuhudia.Hela ya ubunge hadi anamaliza muda wake unaijua wewe?? Pia police hawadhalilishi bali wanafanya kazi yao...acha wivu kwakua mwanamke mwenzio kachaguliwa
Huo ni wivu wa kijingaMbona bibi yako anaosha vyombo na hajafa?
kwamba nakuonea wivu?Huo ni wivu wa kijinga
Hajajiunga CCM mkuu, na hii nafasi siyo ‘sadaka’ kutoka ccm au kwa Mtu yeyote, ni nafasi halali kikatiba, na ni kwa sababu CHADEMA imeshinda. Anatakiwa Mtu wa kwenda kupigania nafasi zaidi, kwenye wale 94 wa CCM kuna nafasi kama 60, za CHADEMA zimeibwa! Tusiwahukumu dada zetu, tuungane nao kupambana vita kubwa iliyo mbele yao!We dada ule udhalilishaji uliofanyiwa na wale Mapolice umeukubali kwa kukisaliti chama kwa kulipwa ujira huu? Kweli dunia ina mambo!!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mimi hao wengine wote sina muda nao, nalia na Halima tu mimi.
Halima amekivunja chama kabisa, Halima tulimuamini na kumpa jeshi letu la wanawake na nilitegemea pasi na shaka Mbowe akistaafu uwenyekiti basi kama sio Lissu, Heche basi ni yeye!
I’m disappointed
Pesa yooote unayo chuma kwa miaka hiyo, zinatumika kwenye kampeni alafu, Gwajima anapitaa kiulaini tu! Kwenye Kamari unarudia kule kule, kubet tena, ili ukomboe pesa zako! Ni ngumu lakini hawa dada zetu wana maisha ya kuishi pia!Mnawaza matumbo tu kama kawaida ya akili za wachovu, yaani kama nyie mna njaa, basi mnaamini kila alieko mbele yenu nae ana njaa hivyo hivyo.
Mtu aliekaa bungeni miaka kumi anaweza vipi kulia njaa? kama ni kweli basi atakuwa na matatizo ya akili.
Usiwaamini wanawake .We dada ule udhalilishaji uliofanyiwa na wale Mapolice umeukubali kwa kukisaliti chama kwa kulipwa ujira huu? Kweli dunia ina mambo!!
Pesaaa....Mimi hao wengine wote sina muda nao, nalia na Halima tu mimi.
Halima amekivunja chama kabisa, Halima tulimuamini na kumpa jeshi letu la wanawake na nilitegemea pasi na shaka Mbowe akistaafu uwenyekiti basi kama sio Lissu, Heche basi ni yeye!
I’m disappointed
Unawaonea wivu wakina halimakwamba nakuonea wivu?
Juzi kwenye mkutano wao wa BAWACHA, walimshawishi Mwenyekiti Taifa kwamba sasa BAWACHA ipo tayari kupewa mikoba ya kuiongoza CHADEMA - maweee!!Usiwaamini wanawake .