Pungua ujuajiHakuna mbunge Mpumbavu kama Esther Bulaya
Pension inalipwa kwa mstaafu Miaka yote hadi kifo sio 15
Shenzi type
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pungua ujuajiHakuna mbunge Mpumbavu kama Esther Bulaya
Pension inalipwa kwa mstaafu Miaka yote hadi kifo sio 15
Shenzi type
We ni mbuzi....Hakuna mbunge Mpumbavu kama Esther Bulaya
Pension inalipwa kwa mstaafu Miaka yote hadi kifo sio 15
Shenzi type
Tuambieni kinagaubaga,mstaafu analipwa hadi kifo au ni kwa muda wa miaka 15 tu,the rest anajitegemea?We ni mbuzi....
Uongo mjinga wewe pension unalipwa Mpaka ufewewe bwege kikokotoo kipya ilikua unapata annuity 33 kinachobaki ndio pensheni unapewa kwa miaka 15 pekee sio mpaka kufa. hayo yanaelezwa na pssf kwa wastaafu wenyewe
Analipwa hadi kifo achana na huyo bwege mjinga Esther BulayaTuambieni kinagaubaga,mstaafu analipwa hadi kifo au ni kwa muda wa miaka 15 tu,the rest anajitegemea?
Kwenye kundi la wapumbavu na wewe umoMwisho ni miaka 12 labda wewe hujui Sheria inavyosema
Tatizo nadhani kuna baadhi ya wabunge wanaingia bungeni Kwa kujiuza na umalaya ndio maana hata michango inakuwa iko chini ya kiwangoWe ni mbuzi....
Kaulize wastaafu na viongozi WA mifuko ya pension kisha njoo hapaMkuu umeulizwa ushahidi kwamba hiyo mifuko inalipa miaka yote mpaka mstaafu atakapokufa
weka ushahidi,acha porojo.
acha kuwinda pension ya baba yako kiazi. unaonyesha una uchungu nayo. serikali yako ya ukimani imeshakuamulia mwisho miaka 15 😂.Uongo mjinga wewe pension unalipwa Mpaka ufe
Watu wakisema bunge limejaa wapumbavu hawatanii ujue
Katika wapumbavu wewe umo huko ndani ya bunge kuna wastaafu waliokuwa sekta ya umma au binafsi kisha wakaingia bungeni baada ya kustaafu si uwaulize mjinga wewe
Yaani hopeless kabisa toka lini monthly pension inakatika MTU mstaafu akiwa hai mjinga wewe
Tatizo bunge limevamiwa kuna baadhi ya wabunge ni machangudua WA kike na kiume wameingia bungeni kupitia uchangudoa ndio maana unakuta wanasema ohhh pension ya mwezi inakata baada ya Miaka 12 au 15.wakati inalipwa hadi mstaafu afarikiWe ni mbuzi....
Uongo hakuna cha Miaka 15 mjinga weweacha kuwinda pension ya baba yako kiazi. unaonyesha una uchungu nayo. serikali yako ya ukimani imeshakuamulia mwisho miaka 15 😂.
Miaka hiyo 15 ni kadirio la wastani wa miaka atakayoishi mstaafu baada ya kuondoka kwenye ajira.acha kuwinda pension ya baba yako kiazi. unaonyesha una uchungu nayo. serikali yako ya ukimani imeshakuamulia mwisho miaka 15 😂.
Kwa Sheria mpya ya kikokotoo ni MIAKA 12 na miezi 6. Mstaafu mtarajiwa wa mwezi march.Tuambieni kinagaubaga,mstaafu analipwa hadi kifo au ni kwa muda wa miaka 15 tu,the rest anajitegemea?
Kunituma kuuliza siyo ushahidi,kwa sababu nikimaliza kuuliza uhenda sitaleta majibu,weka hapa majibu,Kaulize wastaafu na viongozi WA mifuko ya pension kisha njoo hapa
Huo ndio ushahidi wangu